Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wakuu,
Inasemekana bwana harusi alipooza tangu akiwa na miaka saba,Sijui Ugonjwa ulitokana na nini na sijui ilikuwaje akapata mchumba baade akiwa kijana ila akiwa na hali hiohio(Ya kupooza).
Siku ya harusi yao ilibidi hao rafiki zake wasimame nyuma ili kumtegemeza(Support) ili aweze kusimama vizuri kwa ajili ya tukio hilo la ndoa yake.
Sasa kwa anayejua habari kamili atusaidie kujua huyu bwana Harusi alipona au yuko na hali hio mpaka sasa na Ndoa yao inaendeleaje?wana watoto au vipi?
Karibuni.
Inasemekana bwana harusi alipooza tangu akiwa na miaka saba,Sijui Ugonjwa ulitokana na nini na sijui ilikuwaje akapata mchumba baade akiwa kijana ila akiwa na hali hiohio(Ya kupooza).
Siku ya harusi yao ilibidi hao rafiki zake wasimame nyuma ili kumtegemeza(Support) ili aweze kusimama vizuri kwa ajili ya tukio hilo la ndoa yake.
Sasa kwa anayejua habari kamili atusaidie kujua huyu bwana Harusi alipona au yuko na hali hio mpaka sasa na Ndoa yao inaendeleaje?wana watoto au vipi?
Karibuni.