Jana nilikuwa ktk kiji-function fulani ya ambapo tulikutana watu mbalimbali(wanasiasa na watendaji serikalini). Kama mnavyojua sifa moja ya maongezi yasiyo rasmi(informal) ni kuwa huwa hakuna mada maalumu ya kuijadili. Katika maongezi yetu kiongozi mmoja wa CDM ktk mkoa ninaoishi akasema kuwa ninanukuu"Chadema ina hela bwana na ina watu. Kwa kila maandamano yanapofanyika MWENYEKITI NA KATIBU TAIFA wanaposhiriki wanapata Tzs 500,000 na viongozi wa makao makuu na wa mikoa wanapata Tzs350,000" wakati wale wa wilaya wanapata Tzs 200,000.
Kwa wanaojua, je hii ni kweli? Kama si kweli, ukweli ni upi? Kama hufahamu naomba usichangie na kuichafua post yangu.
Kwa wanaojua, je hii ni kweli? Kama si kweli, ukweli ni upi? Kama hufahamu naomba usichangie na kuichafua post yangu.