Anayejua anisaidie hili! Je, ni kweli?

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Jana nilikuwa ktk kiji-function fulani ya ambapo tulikutana watu mbalimbali(wanasiasa na watendaji serikalini). Kama mnavyojua sifa moja ya maongezi yasiyo rasmi(informal) ni kuwa huwa hakuna mada maalumu ya kuijadili. Katika maongezi yetu kiongozi mmoja wa CDM ktk mkoa ninaoishi akasema kuwa ninanukuu"Chadema ina hela bwana na ina watu. Kwa kila maandamano yanapofanyika MWENYEKITI NA KATIBU TAIFA wanaposhiriki wanapata Tzs 500,000 na viongozi wa makao makuu na wa mikoa wanapata Tzs350,000" wakati wale wa wilaya wanapata Tzs 200,000.

Kwa wanaojua, je hii ni kweli? Kama si kweli, ukweli ni upi? Kama hufahamu naomba usichangie na kuichafua post yangu.
 
Mkwere anapewa sh. Ngapi akizindua mahoteli huko Arusha ? Post ya kipuuzi kuliko zote za wiki hii
 
Laki tano ni sawa, malazi ya hadhi ya m/kiti, mawasiliano, chakula, per diem, etc

maana yangu ni kwamba sijaona tatizo hapo.

Pili, hiyo kauli jinsi ulivyodai umeinukuu nadhani ni uongo umetunga. Halafu ukashindwa kutunga uongo wenye akili. Hakuna kiongozi wa ngazi ya juu Chadema mwenye akili finyu hivyo, eti kuhusisha kiasi gani viongozi wanalipwa na chama kuwa na pesa! Kwamba kadri zitakavyopatikana ndivyo watakavyojiongezea. Kwani Chadema haina sera ya malipo kwa watendaji na viongozi wake?
 
Jana nilikuwa ktk kiji-function fulani ya ambapo tulikutana watu mbalimbali(wanasiasa na watendaji serikalini). Kama mnavyojua sifa moja ya maongezi yasiyo rasmi(informal) ni kuwa huwa hakuna mada maalumu ya kuijadili. Katika maongezi yetu kiongozi mmoja wa CDM ktk mkoa ninaoishi akasema kuwa ninanukuu"Chadema ina hela bwana na ina watu. Kwa kila maandamano yanapofanyika MWENYEKITI NA KATIBU TAIFA wanaposhiriki wanapata Tzs 500,000 na viongozi wa makao makuu na wa mikoa wanapata Tzs350,000" wakati wale wa wilaya wanapata Tzs 200,000.
Kwa wanaojua, je hii ni kweli? Kama si kweli, ukweli ni upi? Kama hufahamu naomba usichangie na kuichafua post yangu.
Kaumza, kabla Chedema wenyewe hawajakushukia, kuna baadhi ya vitu ukivisikia, lazima uulize logic behind kwa huyo uliyemsikia, unauliza as if unataka kujua ukweli kama viongozi wa Chadema wanalipwa kushiriki maandanano. Picha utakayoonekana unataka kuichora ni kuonyeshe ushuriki wa viongozi hao unatokana na financial incentive, kwa hili lazima ukubali kushukiwa na wenyewe na ikibidi kutukanwa!.

Baada ya kuyasikia uliyoyasikia ulitakiwa kuuliza kwa huyo huyo, jee malipo hayo ni ya ushiriki wa maandamano au ni malipo ya kawaida ya masurufu na maduhuli ya safari za kikazi (imprest na per diem)?.

Kuna taasisi wanalipa fedha za safari Sh. 500,000 per day unapewa gari na dereva na ofisa mhusika anahakikisha kila safari ni lazima iwe ya siku mbili na kuendelea hata kama ni Kibaha au Morogoro hivyo kila akisafiri anasaini kuanzia Milioni ndio minimum, hivyo hata hiyo laki 5 unayoiulizia ni pesa ya kawaida tuu tena hiyo ni afadhali, fanya na kajiutafiti kadogo kule kwa Chukua Chako Mapema wakuu wakisafiri wabasaini kiasi gani licha ya chama mkoa na wilaya kulipia kila kitu mpaka 'blanketi' chapa mtu!
 
Jana nilikuwa ktk kiji-function fulani ya ambapo tulikutana watu mbalimbali(wanasiasa na watendaji serikalini). Kama mnavyojua sifa moja ya maongezi yasiyo rasmi(informal) ni kuwa huwa hakuna mada maalumu ya kuijadili. Katika maongezi yetu kiongozi mmoja wa CDM ktk mkoa ninaoishi akasema kuwa ninanukuu"Chadema ina hela bwana na ina watu. Kwa kila maandamano yanapofanyika MWENYEKITI NA KATIBU TAIFA wanaposhiriki wanapata Tzs 500,000 na viongozi wa makao makuu na wa mikoa wanapata Tzs350,000" wakati wale wa wilaya wanapata Tzs 200,000.


Nahisi vilevile palikuwa na kilevi ijapokuwa hujasema kwa hiyo ni mambo yenu tu ya ulevi nahisi vilevile mlikuwa mmelewa.

Kwa wanaojua, je hii ni kweli? Kama si kweli, ukweli ni upi? Kama hufahamu naomba usichangie na kuichafua post yangu.

kama ulikuwa na kigogo wa CDM kama unavyosema mwenyewe kwa nini hukuuliza hapo hapo.
 
Jana nilikuwa ktk kiji-function fulani ya ambapo tulikutana watu mbalimbali(wanasiasa na watendaji serikalini). Kama mnavyojua sifa moja ya maongezi yasiyo rasmi(informal) ni kuwa huwa hakuna mada maalumu ya kuijadili. Katika maongezi yetu kiongozi mmoja wa CDM ktk mkoa ninaoishi akasema kuwa ninanukuu"Chadema ina hela bwana na ina watu. Kwa kila maandamano yanapofanyika MWENYEKITI NA KATIBU TAIFA wanaposhiriki wanapata Tzs 500,000 na viongozi wa makao makuu na wa mikoa wanapata Tzs350,000" wakati wale wa wilaya wanapata Tzs 200,000.

Kwa wanaojua, je hii ni kweli? Kama si kweli, ukweli ni upi? Kama hufahamu naomba usichangie na kuichafua post yangu.
una akili timamu au ubogo wako umeshikiwa na hao walio kutuma? kawambie CDM hawana ujinga kama wa hao waliokutuma na wape pole sana! kwa heri
 
Jana nilikuwa ktk kiji-function fulani ya ambapo tulikutana watu mbalimbali(wanasiasa na watendaji serikalini). Kama mnavyojua sifa moja ya maongezi yasiyo rasmi(informal) ni kuwa huwa hakuna mada maalumu ya kuijadili. Katika maongezi yetu kiongozi mmoja wa CDM ktk mkoa ninaoishi akasema kuwa ninanukuu"Chadema ina hela bwana na ina watu. Kwa kila maandamano yanapofanyika MWENYEKITI NA KATIBU TAIFA wanaposhiriki wanapata Tzs 500,000 na viongozi wa makao makuu na wa mikoa wanapata Tzs350,000" wakati wale wa wilaya wanapata Tzs 200,000.

Kwa wanaojua, je hii ni kweli? Kama si kweli, ukweli ni upi? Kama hufahamu naomba usichangie na kuichafua post yangu.
Kuna thread zingine hazifai hata kuwekwa kwenye dust bin.
 
Mtu akienda haja kubwa mnaita Long Call,
Akienda haja ndogo, mnaita Short Call,
Huyu Kaumza kachafua hali ya hewa (kajamba), ntaita Missed Call! tumpuuze.
 
Kaumza,
Me nafikiri ungetafuta kwanza za CCM ukaziweka hapa then ukakompea mwenyewe, wewe si ndo mtoa mada? si ungetafuta sasa?
Halafu unaacha kazi zako unaleta hapa mambo ya vijiwe?? kweli hapo ni sawa na O
 
Inaweza ikiwa ni imprest (masurufu) kwa ajili ya vitu fulani fulani ambavyo vtahitajika na kama ni imprest inakuwa na retirement some times you can retire cash.
 
Back
Top Bottom