Anayefahamu namba za kumbi za harusi dar es salaam

wanan

Senior Member
May 11, 2011
141
40
Wana jf naomba msaada wenu wa kupata namba za wenye kumbi za harusi hapa dar es salaam ili nami nipate kuwe order yangu kwao napenda sana kama unayo ya diamond jublee,nssf water front,ubungo plaza,quality plaza na zingine ili nami niwe na uwanja mpana wa kuchagua,napenda kutanguliza shukurani zangu za dhati kwa wale wote watakao nisaidie,na wale ambao watanipa mawazo yao.Ahsenten


 
Natafuta venue ya harusi ambayo ni ya nje, yenye garden nzuru za kuvutia.
Wenye ideas tumwagieni hapa
 
Wana jf naomba msaada wenu wa kupata namba za wenye kumbi za harusi hapa dar es salaam ili nami nipate kuwe order yangu kwao napenda sana kama unayo ya diamond jublee,nssf water front,ubungo plaza,quality plaza na zingine ili nami niwe na uwanja mpana wa kuchagua,napenda kutanguliza shukurani zangu za dhati kwa wale wote watakao nisaidie,na wale ambao watanipa mawazo yao.Ahsenten

0754277687 JOSAM GARDENS
 
Naomba uniPM kwani mm nafanya huduma za U-MC, Upambaji, kutengeneza keki, kutengeneza kadi za Harusi na kuweka snow katika halfa mbalimbali vilevile nitakusaisdia kupata hizo namba za ukumbi kwani harusi yako ni lini best hongera sana niifahamishe.
Wana jf naomba msaada wenu wa kupata namba za wenye kumbi za harusi hapa dar es salaam ili nami nipate kuwe order yangu kwao napenda sana kama unayo ya diamond jublee,nssf water front,ubungo plaza,quality plaza na zingine ili nami niwe na uwanja mpana wa kuchagua,napenda kutanguliza shukurani zangu za dhati kwa wale wote watakao nisaidie,na wale ambao watanipa mawazo yao.Ahsenten


 
Naomba uniPM kwani mm nafanya huduma za U-MC, Upambaji, kutengeneza keki, kutengeneza kadi za Harusi na kuweka snow katika halfa mbalimbali vilevile nitakusaisdia kupata hizo namba za ukumbi kwani harusi yako ni lini best hongera sana niifahamishe.

Nami naomba niku-PM kuna jamaa yangu anatafuta MC wa hivi karibuni
 
Naomba uniPM kwani mm nafanya huduma za U-MC, Upambaji, kutengeneza keki, kutengeneza kadi za Harusi na kuweka snow katika halfa mbalimbali vilevile nitakusaisdia kupata hizo namba za ukumbi kwani harusi yako ni lini best hongera sana niifahamishe.

Shosti, hongera sanaaa kumbe mjasiria mali?
 
mpendwa wangu mm ni mjasiriamali wa siku nyingi nashukuru kwa kunipongeza kama nawe unahitaji huduma hizo niPM tutawasiliana bestito

Mi bado niko niko sanaaaaaaaaa! Labda tu nikushauri JINSI GANI UGEUKE TYCOON kwenye hio biashara yako! Mind u lazima mtaji uwe nao!

Marketting consultation nakupa bureeeeeeee! mtu hakunyimi neno bwana.
 
Back
Top Bottom