Anayefahamu hospitali nzuri ya macho kwa hapa Dar na gharama zake

fdizzle

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
1,891
2,367
Wakuu nawasalim

Nna tatizo kidogo la macho kuna wakati nilienda hospital tofaut na upimaji wao wa macho ni ile ya kuveshwa lens na kuanza kusomeshwa herufi

Kiukweli haijanisaidia lolote pamoja na kupewa miwani ila tatizo bado lipo tena inakuwa ni bora bila ya miwani kuliko kutumia miwani.

Msaada nnaoomba hapa ni sehem au hospital nayoweza pima macho kwa computer gharama zipoje na ni sehem gani?

Mimi nipo dar ntashukur nikipewa maelezo
 
Nenda hii hospital ipo moroco karibu na jengo la airtel
1137310
 
Mkuu nilipimwa nikapewa aina mbili za miwani moja ya kuangalia tu na nyinhgine ya kusomea
Sasa nami kazi zangu za kutumia computer inanipa hard time sana pale naposhift toka ya kuonea kwenda ya kusomea
Ndio maana nataka nipimwe kwa computer ili ijulikane size ipi ya lens inatakiwa kwa macho yangu
Tatizo huwa lipo hapa. Unapewa miwani ya macho unaivaa mara unavua ovyo ovyo. Ukifanya ivyo unazidi haribu macho tena kwa kasi. Miwani kma ni ya macho unatakiwa kuvua unapoenda kulala au kuoga. Ukifata huu utaratibu mishipa ya macho hustablize na baadaye umaweza jikuta umepona kabisa
 
Dah pole mkuu
Niliona ndugu zangu wawili walipatwa matatizo ya macho walipoenda hapo mmoja akanyofolewa jicho moja mwingine akafanyiwa operation sasa ni kipofu kabisa
Huyo alienyofolewa jicho tumeshamzika tayar
 
Niliona ndugu zangu wawili walipatwa matatizo ya macho walipoenda hapo mmoja akanyofolewa jicho moja mwingine akafanyiwa operation sasa ni kipofu kabisa
Huyo alienyofolewa jicho tumeshamzika tayar
Ilikuwa macho tu au macho na mengine?
 
Mkuu, ukiwa posta mpya kituo cha daladala, kuna kituo cha mafuta unakiona kuvuka barabara kulia mwa crdb benki. pita katikati ya kile kituo, vuka barabara na nyumba unayokutana nayo ghorofa ya chini kuna mtaalamu wa miwani, utapata huduma nzuri sana. Kama unatumia lenzi mbili tofauti, ana uwezo wa kuziweka katika kioo kimoja, ingawa huwa inachukua muda kuizoea miwani ya aina hiyo.
Tatiozo lingine kwnye miwani, wapimaji wengi huwa hawang'amui kuwa macho yana nguvu tofauti na yanahitaji lenzi tofauti pia. Elewa kuwa macho ni kiungo kama vilivyo viungo vingine, miguu, mikono, masikio n.k hivyo la kulia na kushoto hata kama ni mazima hayawezi kuwa na nguvu sawa.
 
Hii hospitali hamna kitu kabisa kwenye macho naona imebaki jina tu, walitaka kumpofua mama yangu hapo. Nenda Muhimbili pale jengo la watoto pembeni ya Jakaya Kikwete cardiac institute kuna huduma nzuri sana za macho. Mama yangu alikuwa anatoka machozi muda wote baada ya kupata huduma hapo one week macho yote yakawa makavu mpaka leo
 
Nacho
Uyo mmoja aliamka asubuhi na kuona jicho lina kama mchanga ndani akaenda hospital ya Kata wakampa dawa hakupata nafuu
Wakajichanga kwenda hapo ccbrt wakdai kuna kidonda kinakula kwenda ndani zaid hivyo suluhu wamchomoe wakafanya hivyo
But toka atolewe jicho hakutoboa mwezi tumemzika
Ilikuwa macho tu au macho na mengine?
 
Kabisa mkuu
Hii hospitali hamna kitu kabisa kwenye macho naona imebaki jina tu, walitaka kumpofua mama yangu hapo. Nenda Muhimbili pale jengo la watoto pembeni ya Jakaya Kikwete cardiac institute kuna huduma nzuri sana za macho. Mama yangu alikuwa anatoka machozi muda wote baada ya kupata huduma hapo one week macho yote yakawa makavu mpaka leo
 
Hii hospitali hamna kitu kabisa kwenye macho naona imebaki jina tu, walitaka kumpofua mama yangu hapo. Nenda Muhimbili pale jengo la watoto pembeni ya Jakaya Kikwete cardiac institute kuna huduma nzuri sana za macho. Mama yangu alikuwa anatoka machozi muda wote baada ya kupata huduma hapo one week macho yote yakawa makavu mpaka leo
Weee Usinambie

Maza angu anataka kwenda kesho kaambiwa eti operation!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nacho
Uyo mmoja aliamka asubuhi na kuona jicho lina kama mchanga ndani akaenda hospital ya Kata wakampa dawa hakupata nafuu
Wakajichanga kwenda hapo ccbrt wakdai kuna kidonda kinakula kwenda ndani zaid hivyo suluhu wamchomoe wakafanya hivyo
But toka atolewe jicho hakutoboa mwezi tumemzika
Duuuh

How come issue ya mchanga hadi anyofolewe jicho?
 
Kweli mkuu
Ndio maana nataka nijue wapi pako vizuri maana kuna hospital Ya kwanza kabisa kwenda ilikuwa mnazi mmoja zanziba
Dah wakanipima na computer vzr tu na hata nilipotest pale niliona vzr sijui ikawaje yule dokta akasema niende chumba kingine hivi huko wakanitia matone ya maji kwenye macho duh yaliwasha hatari na hata ile nafuu ya mwanzo ikapotea ikawa shida
Nikajirudia zangu home na kuanza dozi ya karoti ndio imesaidia kdg
Mkuu, ukiwa posta mpya kituo cha daladala, kuna kituo cha mafuta unakiona kuvuka barabara kulia mwa crdb benki. pita katikati ya kile kituo, vuka barabara na nyumba unayokutana nayo ghorofa ya chini kuna mtaalamu wa miwani, utapata huduma nzuri sana. Kama unatumia lenzi mbili tofauti, ana uwezo wa kuziweka katika kioo kimoja, ingawa huwa inachukua muda kuizoea miwani ya aina hiyo.
Tatiozo lingine kwnye miwani, wapimaji wengi huwa hawang'amui kuwa macho yana nguvu tofauti na yanahitaji lenzi tofauti pia. Elewa kuwa macho ni kiungo kama vilivyo viungo vingine, miguu, mikono, masikio n.k hivyo la kulia na kushoto hata kama ni mazima hayawezi kuwa na nguvu sawa.
 
Back
Top Bottom