The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Tbc one leo kwenye taarifa ya habari
wamemuonesha kijana aliyeweza kuunda magari yake mwenyewe
na anawauzia watu huko mbinga,ruvuma
ameshatengeneza magari manne so far,na bei yake ni millioni nne
mpaka tano.....
sasa utasikia wanaojifanya viongozi wetu wakisema eti
watanzania wajitokeze kwenye ujasiriamali ili wasaidiwe
huku huyo kijana wakijifanya hawajamsikia
hii nchi bana
wamemuonesha kijana aliyeweza kuunda magari yake mwenyewe
na anawauzia watu huko mbinga,ruvuma
ameshatengeneza magari manne so far,na bei yake ni millioni nne
mpaka tano.....
sasa utasikia wanaojifanya viongozi wetu wakisema eti
watanzania wajitokeze kwenye ujasiriamali ili wasaidiwe
huku huyo kijana wakijifanya hawajamsikia
hii nchi bana