Anaye jua kiwango cha mshahara wa askari magereza

Anaye jua kiwango cha mshahara wa askari magereza

Calamity

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2013
Posts
856
Reaction score
47
Wanandugu tujuzane mwenye ufahamu wa( takehome) ya askari wa magereza ambaye hana taaluma. Maana mimi ni miongoni mwa anaye elekea huko sababu viwango vya utumishi vya TGS take home yake huwa inapungua naombeni msaada.
 
Wametangaza nafasi za kazi kwani?hawa jamaa nimesikia hawatofautiani na police
 
Polisi,magereza,uhamiaji,zima moto..mishahara yao wote sawa.
 
Unamahanisha nin unaposema hasi na taaluma yoyote? Mimi nilidhani kuwa askari tiyari ni taaluma.
 
Wanandugu tujuzane mwenye ufahamu wa( takehome) ya askari wa magereza ambaye hana taaluma. Maana mimi ni miongoni mwa anaye elekea huko sababu viwango vya utumishi vya TGS take home yake huwa inapungua naombeni msaada.

itakuwa vizuri kama utawauliza wenyewe nenda gereza lolote mkute mkuu muulize ni haki yako kuhoji vitu ukiwa kama raia mwema wa tanzania
 
usibishe kitu usichokifahamu

Usiulize mshahara nenda kafanye kazi ngoja nkwambie kwa kifupi wizara ya mambo ya ndani police wanaongoza kwa mishahara mikubwa kwa graduate ni karibia sawa na TGS E ukiwa FFU kuna nyongeza flan tofauti na unit zingine pia CID wanapata some allowances wakienda kufanya upelelezi
NB.Police recruit direct from universities.
 
Salary iko the same upande wa wizara ya mambo ya ndani. coz vyeo ni vile vile
 
Usiulize mshahara nenda kafanye kazi ngoja nkwambie kwa kifupi wizara ya mambo ya ndani police wanaongoza kwa mishahara mikubwa kwa graduate ni karibia sawa na TGS E ukiwa FFU kuna nyongeza flan tofauti na unit zingine pia CID wanapata some allowances wakienda kufanya upelelezi
NB.Police recruit direct from universities.

Umeandika kwa mbwembwe nyiiingi huna unachokijua.Mshahara wa askari wa Polisi, Magereza, uhamiaji na Zimamoto ni sawa.
 
Umeandika kwa mbwembwe nyiiingi huna unachokijua.Mshahara wa askari wa Polisi, Magereza, uhamiaji na Zimamoto ni sawa.

pole ya maaskari haiwahusu kafanye mambo mengine "pilipili usiyoila yakuwashia nini"
 
Usiulize mshahara nenda kafanye kazi ngoja nkwambie kwa kifupi wizara ya mambo ya ndani police wanaongoza kwa mishahara mikubwa kwa graduate ni karibia sawa na TGS E ukiwa FFU kuna nyongeza flan tofauti na unit zingine pia CID wanapata some allowances wakienda kufanya upelelezi
NB.Police recruit direct from universities.
Kama ni hivyo hawa jamaa mbn wanaaibisha sana yaani hakuna hata kitengo chenye afadhali kwa rushwa na kuomba omba. Wanapenda vya bure utadhani hawana mshahara.
 
Kama ni hivyo hawa jamaa mbn wanaaibisha sana yaani hakuna hata kitengo chenye afadhali kwa rushwa na kuomba omba. Wanapenda vya bure utadhani hawana mshahara.

mkuu,rushwa ni tabia iliyojengeka miongoni mwa police wengi ila kwa graduate atleast hawapokei
 
Back
Top Bottom