Septemba11
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 620
- 535
thngs are now nacked so let everyone see them!
We nawe sijui vipi!Unatarajia akuambie kirahisi rahisi hivyo?Fanya uchunguzi wa kina bana. . . . . . Jiulize kwanini nakushauri hivi!
Hana, amekuwa boarding since he was 7 so l know. Na shuleni hawana access ya Internet, nyumbani hakuna desk top; so if he has to use a computer then ni laptop yangu ambayo anahitaji moderm.
Simu aliyo nayo ni nokia ya torch.
Ili upate uhakika muulize rafiki yake kama ana account ya facebook. Sasa hivi ukimuuliza yeye atakuwa
ameshtuka kama ana akaunti kweli kwa sababu ya maswali yako ya kimtego kuhusu net.
Tumia trick kali. Kwa bahati nzuri nina ukaribu sana na watoto, aisee wapo wengi sana wameharibika!
na kwao ni rahisi sana kufunguka kwa mtu anayeongea nao kirafiki. Ila huwa hawajui kwamba na mimi
ni mnoko lazima mashtaka yafike!