sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Angekuwa na gpa kama ya 3.8 ya degree ingemfaa sana kusoma masters maana hata nafasi ya kuoata kazi ya u lecturer ingekuwepo, ila kwa hio GPA yake ya 3.1 hata akifaulu sana masters hata iwe ya uingereza hawezi kuwa lecturer.
Hapo asome labda kwajili ya kutafuta hizi kazi nyingine
Hapo asome labda kwajili ya kutafuta hizi kazi nyingine