onjwayo JF-Expert Member Apr 8, 2020 1,346 1,303 Oct 20, 2021 #21 Viongozi wa CCM waongoze nchi na siyo kufikiria kuua Chadema.....kamwe huwezi kuua fikra za mtu.
J jamvimoto JF-Expert Member Jul 28, 2015 1,064 826 Oct 20, 2021 #22 Yoda said: Chahali ni Kigogo aliyepooza Click to expand... Chadema imefanikiwa kuwa tasisi kubwa sana indicators hili ni jinsi inavyotajwa kwenye mitandao inatajwa zaidi ya ccm,ndiyo maana akina kigogo,chahali,Kimambi kutwa kucha ni chadema chadema jamani muwe mnaiongelea hata TLP basi
Yoda said: Chahali ni Kigogo aliyepooza Click to expand... Chadema imefanikiwa kuwa tasisi kubwa sana indicators hili ni jinsi inavyotajwa kwenye mitandao inatajwa zaidi ya ccm,ndiyo maana akina kigogo,chahali,Kimambi kutwa kucha ni chadema chadema jamani muwe mnaiongelea hata TLP basi