Kuna watu wanajua kulazimisha kuwa wazuri lkn bado haikubali, kila siku style mpya, ...
Umeongea kitu kikubwa sana mkuu, kikubwa mnoukiwa na fwedha kipengere cha urembo kinakufa automatikali.yaani wewe ni mzuri wa muda wote hadi ufirisike.
Kuna watu wanajua kulazimisha kuwa wazuri lkn bado haikubali, kila siku style mpya, ...
Ndiyo tabia zenu fisiem hiziKuna watu wanajua kulazimisha kuwa wazuri lkn bado haikubali, kila siku style mpya, ...
Mbona ni mrembo kuliko mamaako asee?
Kweli kabisa Dr. Remmy alioa Mzungu akazaa machotara handsome akina KalimangongaMama wa watu hata hakujui na inawezekana asikijue mpaka mwisho wa maisha yake.
Wewe tu unatafunwa na chuki wakati mwenzako anakula maisha ya pensheni ya kirais US, na anaingiza mamilioni ya dola kwa kuuza kitabu chake.
Uzuri hata Dr. Remmy Ongala aliyeshinda mashindano ya ubaya kuna mwanamama alimuona mzuri mpaka akampa mambo akamzalia watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app