Anataka wamzibue mtoto masiko.

Huo ni msemo 2, hakuna uhusiano wa jujamiana kwa wazazi na mtoto kusikia. Huyo rafiki yako km ana afya njema( hakupata matatizo wakati na baada ya uzazi) ampe mumewe huduma.

Inaelekea jamaa kamaliza mistari yote akiomba huduma mpaka akaamua kusema anataka kumzibua mtoto maskio!!
 
Kinachokusimamisha nini tena ? Na we ushadai wapita ? Na hapa unamsikia Kongosho yuko serious anaomba mzibuo, kabla mzibuliwaji haja'afiki mazibuzi yawe wapi we umesimama! Umbeya acha ! We songesha mbele waache wazibuanaji wazibuane.

I saluti yu mzee wa jajiment.
 
Inaonekana mke hampi mume haki yake,mtoto ana miezi mi3?Mi najua ni siku 40 mashine inaendelea kusaga kama kawa!
 
Huwa inaanza kutengezeza njia, kisha maskio yanazibuliwa, hii kwa uswazi ni muhimu sana na wala si ajabu kikubwa ni kuwa makini ili msisbebeshane mimba tena
 
Huo ni msemo 2, hakuna uhusiano wa jujamiana kwa wazazi na mtoto kusikia. Huyo rafiki yako km ana afya njema( hakupata matatizo wakati na baada ya uzazi) ampe mumewe huduma.

Inaelekea jamaa kamaliza mistari yote akiomba huduma mpaka akaamua kusema anataka kumzibua mtoto maskio!!

sawa kabisa tamu ya ndoa sio mchezo lazma uwe mbunifu kama mustafah hasanali
 
Hello JF,
Naomba kueleweshwa hii kwa niaba ya rafiki yangu ambae ana mtoto mchanga wa miezi mitatu mmewe anamwambia kuwa wamzibue mtoto masikio. Je ni kweli huwa masikio ya mtoto yameziba? na ku do ndiyo njia pekee ya kuyazibua?

Hiyo ni IMANI tu kuwa mtoto lazima azibuliwe masikio. Lakini kama mko ndani ya ndoa mnangoja mpaka mtoto aanze kutembea? Si kutesana na kumtuma mmeo akatafute nyumba ndogo? Asingoje kuambiwa. Mshauri AWAJIBIKE!! Miezi mitatu ni zaidi ya siku 40 ...!
Kwani wataalamu wa mambo ya uzazi wanasemaje?
 
Mke ni mtoto mdogo asiye jua kitu ndo mana aliogopa kugawa dozi kwa kuhofia hadithi za kubemenda.
 
Back
Top Bottom