Jackline Daniel
New Member
- Aug 7, 2016
- 4
- 0
Kubali kapata mwingine uyo cha kufanya kubali nà usali sana
Dah umeongea lugha original mimi naweza Kimahanji...ndidoboka ndiswate padebe mwe,..
Yani daily kituko kipya kinaibukaa,kwenye hii post ni mwanaume kwenye post nyingine kule ni mwanamke huyu jocasta sio bure kuna kitu anakitafuta...nimecheka sana JF haiishi vituko,..
Huyu si mtoto wa shule wala nini but atakua shoga huyu au ana jinsia mbiliDaah sasa sijui hata nisemeje?maana kuna uzi umeanzisha unataka mwanaume akupe mimba uzae au nakosea?ama kweli hili jukwaa limevamiwa na watoto wa shule bhana.
Ni mpenzi wangu kwa muda wa miaka mitano sasa!!! Nampenda sana tena sana. Juzi kapiga simu akasema ana mazungumzo na mimi. Jana kasema tuachane, nilipouliza sababu hakunipa.
Inaniuma sana tena sana coz nilikuwa nimewekeza kwake 100%. Naombeni pakuanzia jamani,nifanyeje?