Wanne serious?? Kwa dunia ya sasa ilivyo sishauri mtu kuwa kwenye relation na mchumba zaidi ya mmoja manake hapo maradhi hayatakuacha na usijue aliyekuambukiza.Pole sanaa but siku nyingine usirudie kua na relation na mtu mmoja jitahidi kua nao hata wanne ukishindwa kua nao hata wawili hiyo itakusaidia mmoja akikuacha anakuapo wa kukuondolea stress!
Yaani ni bora ujichue tu maana hamna namna,unaanza na vidole vitatu halafu ikikolea unafanya vinne mpaka chee.ndo nin
Daah sasa sijui hata nisemeje?maana kuna uzi umeanzisha unataka mwanaume akupe mimba uzae au nakosea?ama kweli hili jukwaa limevamiwa na watoto wa shule bhana.mimi ni mwanamme kaka
mwwenyewe nilikimbia PM aibu ganii hiii jaman? hawa watoto shule si zifungue harakaDaah sasa sijui hata nisemeje?maana kuna uzi umeanzisha unataka mwanaume akupe mimba uzae au nakosea?ama kweli hili jukwaa limevamiwa na watoto wa shule bhana.
Mkuu yaani eti yeyemara mwanamke mara mwanume sasa hii ni nini wazee?mwwenyewe nilikimbia PM aibu ganii hiii jaman? hawa watoto shule si zifungue haraka
huyu mtoto asionekane huku tenaMkuu yaani eti yeyemara mwanamke mara mwanume sasa hii ni nini wazee?
Labda me wale ambao Makonda anwatafuta,maana kunauzi umeanzisha unataka mwanaume akutie upate mimba,sasa wewe ni mwanaume wa aina gani unaetaka kubebe mimba.kaka yy hajatoa sababu yoyote.
...ndio yule uliyesema hajakutungisha Mimba tangu 2012?,..kama ni huyo bora akuache tu.Ni mpenzi wangu kwa muda wa miaka mitano sasa!!! Nampenda sana tena sana. Juzi kapiga simu akasema ana mazungumzo na mimi. Jana kasema tuachane, nilipouliza sababu hakunipa.
Inaniuma sana tena sana coz nilikuwa nimewekeza kwake 100%. Naombeni pakuanzia jamani,nifanyeje?
Yaani napata hasira natamani nimuone huyu mtu anaetuchanganya namna hii,maana hapa jukwaani tupo kwa ajili ya kusaidiana na kupeana mawazo sio kufanyana watoto.huyu mtoto asionekane huku tena
Cha ajabu anasema yeye ni mwanaume,wakati ameanzisha uzi anatafuta mwanaume amtombe apate mimba,na yuko tayari kulipia huduma hiyo kwa sababu mme wake hakuweza kumtia mimba,sasa kama sio wehu ni nini?,au mimba inaingiaga mkunduni kwenye mavi?...ndio yule uliyesema hajakutungisha Mimba tangu 2012?,..kama ni huyo bora akuache tu.
Nafikiri huyu atakuwa ana matatizo ya akili au ana nyege mshindo na hajui azito vipi?huyu mtoto asionekane huku tena
..mbona ule uzi wako ulisema hujatungishwa mimba,..fafanua hapo.mi ni me
..ndidoboka ndiswate padebe mwe,..Lidemi winogwa avademi vanino
...nimecheka sana JF haiishi vituko,..Huku girlfriend wake kamuacha kule anatafuta mwanaume wa kuzaa nae duuuh