
Mtie super glueNi mpenzi wangu kwa muda wa miaka mitano sasa!!! Nampenda sana tena sana. Juzi kapiga simu akasema ana mazungumzo na mimi. Jana kasema tuachane, nilipouliza sababu hakunipa.
Inaniuma sana tena sana coz nilikuwa nimewekeza kwake 100%. Naombeni pakuanzia jamani,nifanyeje?
Mkuu kwanza pole pili muache wala usiulize kwanini amefanya vizuri kukueleza kapata mwengine anapiga pumbu vizuriNi mpenzi wangu kwa muda wa miaka mitano sasa!!! Nampenda sana tena sana. Juzi kapiga simu akasema ana mazungumzo na mimi. Jana kasema tuachane, nilipouliza sababu hakunipa.
Inaniuma sana tena sana coz nilikuwa nimewekeza kwake 100%. Naombeni pakuanzia jamani,nifanyeje?
weWe utakuwa panya roadchoma moto gethoo lake muibie baadhi ya vitu si usema umewekeza kwake baada ya hapo atakutafuta tu hapo ndo utajua kuwa anakupenda kuliko ww unavyompenda...fata ushaur huu umesaidia wengi
Panya road wengine huyuAu mchome kisu cha tumbo halafu kimbia dalisalama ukajifiche haiwezekan akupotezee mda wako
![]()
![]()
Inaniuma sana tena sana coz nilikuwa nimewekeza kwake 100%. Naombeni pakuanzia jamani,nifanyeje?
upo sahihi hiyo ni BPMuache kiroho safi na hutajuta. Utajisikiaje akiwa na wewe kwa kujilazimisha? Wakati mwingine Mungu anakuepusha na kitu. Usilazimishe mapenzi.
thanks broMkuu ni vyema ukamwacha kaenda kwa sababu hujui nini mwenzako kaona, kapanga nini, na inawezekana ana mtu wake wa nguvu.
Let her go though it is so painful to see your beloved one going away. Let her go, let her go go away and never expect her back she seems to be ain't yours.
But if she is yours she will come back to you-"if the dove substantially belongs to you, let it freely fly and to you it will come back"
kibaokinini
Ni mpenzi wangu kwa muda wa miaka mitano sasa!!! Nampenda sana tena sana. Juzi kapiga simu akasema ana mazungumzo na mimi. Jana kasema tuachane, nilipouliza sababu hakunipa.
Inaniuma sana tena sana coz nilikuwa nimewekeza kwake 100%. Naombeni pakuanzia jamani,nifanyeje?
Kweli hapo lazima uumie mkuu kama ulikuwa nae pekee najua maumivu yake kwani nimepitia hiyo demu alinyakuliwa na msela mmoja na kwenda nae India lakini maumivu yale hayakunifanya nianze tabia ya kuwa na demu zaidi ya mmoja kwa msimu mmoja wa usajili-nimebaki na uaminifu wangu. Hata hapa nimepokea kibuti niko nauguza maumivu lakini naamini muda utafika nitapata kifaa kingine kikali zaidi maana watoto wakali wamejaa sana hapa hapa manyerereland kila nikisafiri kutoka mashariki kwenda magharibi mwa hii nchi warembo ni wengi na unayekutana nae ni mkali zaidi ya uliyemwona awali. Actually haina maana ya kumlilia demu mmoja wakati ukijua asilimia 60 ya watz ni wanawake na hapo umeshatoa wale usiowahitaji.Sikuwa na gf mwingine.alikuwa yy pekee
Wewe unawekezaga asilimia ngapi rafiki??!Unawekezaje asilimia mia moja kwa mtu?
Pole...Time heals a broken heart