mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 764
anataka mpachika mimba ya mtu mwingine. akapimwe ukimwi na kibendi.
ila analake na binti huyo ameshavunja hiyo amri zamaniiiiii
ila analake na binti huyo ameshavunja hiyo amri zamaniiiiii
Asijaribu ku-do kabla ya ndoa ila binti aking'ang'ania wewe niunganishe na huyo bi harusi nilale naye kabla ya harusi,hii ni ktk kumsaidia bw harusi asitende dhambi kulingana na imani yake.
hiyo bidhaa imeshaliwa labda anataka amshikishe mimba ya mwengine...akampime mimba hosp