Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 131
we mwenyewe unamtamani na hivi mke yuko mbali ndio kabisa, acha hayo mawazo. Ushauri wa PJ unakufaa sana.ananitega sana huyu binti
we mwenyewe unamtamani na hivi mke yuko mbali ndio kabisa, acha hayo mawazo. Ushauri wa PJ unakufaa sana.ananitega sana huyu binti
We ngoja nikatafute fimbo za bagara. .mmmmmmhhhhhh ntakavyo kucharaza. Mmhh. .
hakuna cha nyoka, mjusi wala sisimizi vyote hivyo vya mkeo. .
Tena mwambie una mke na asikusumbue. .mmhhh jamani wewe usimguse. ..
Nafurahi kusikia umepokea ujumbe lol.mh! haya bana
ananitega sana huyu binti
Unaonaje na sisi tukimchakachua wife huku UG KWA MAANA TU YA KUKUMBUSHIA ZAMANI HALAFU TUKAPITILIZA HADI KWENYE MTANDAO WA ROBO SHILINGIMAANA NA YEYE ANASUMBUA SANA HUKU?:help::help::help:
Kawa king'ang'anizi sana hadi jinsi ya kumkimbia nashindwa na nyumbani anapajua. Ila mamaaa yupo UG.
ananitega sana huyu binti
hahahaha anatafuta mtaji wa kuvunja ndoa huyu brazaUnaonekana una matatizo ya kiintelijensia
Wadau kuna msichana ambaye alikuwa wangu kipenzi tukiwa secondary na sasa imepita miaka 3 toka tumeet kwa last time. Juzi Juz tu nimekutana nae na kubadilishana namba na usiku wa Jana kanipigia usiku anasema kamiss sana Nyoka na anataka tena.
Je nimpe bt mimi nimeshavuta jiko.
Acha ubabaishaji, usione sifa kuwa na mademu wengi wakati tayari wewe una mkeo tena naamini ni mzuri kuliko huyo nungayembe! Achana na kimeo hicho wewe.Marriage is contract bana...sticky to it!!
imagine na mkeo akikutana na mazingira hayo afanyeje?
usije jutia tamaa hiyo na kitu yenyewe unaijua fika ndugu yangu
siku hizi kugundulika ni rahisi sana
Sensual pleasure passes and vanishes!
Wadau kuna msichana ambaye alikuwa wangu kipenzi tukiwa secondary na sasa imepita miaka 3 toka tumeet kwa last time. Juzi Juz tu nimekutana nae na kubadilishana namba na usiku wa Jana kanipigia usiku anasema kamiss sana Nyoka na anataka tena.
Je nimpe bt mimi nimeshavuta jiko.
Mwacheni alambe sukari halafu Chumvi ataijua ni opposite yake...