We ungekuwa hutaki hata hapa usingekuja, you could have just stayed with your hard decission. Kitendo cha kuja hapa unapima upepo tu.Msimamo wangu sitaki maana naona itanipa shida nikitaka kuoa
Mkuu una miaka 27 unaomba ushauri kwa kitu cha kipumbavu kama hicho?, yaani unaanzaje kumzalisha/kumpa mimba mke wa mtu? Kwan Mme wake hayupo? Anyway uamuzi ni wako ila nakushauri achana na mke wa mtu kabisa tena kama ulishaanza uhusiano naye wa kimapenz usitishe harak maana sio tu unaweza kupata matatizo kutoka kwa mmewe ila pia siku utakapooa mkewe ataumia akikjua tayari una mtoto njeHeri ya mwaka mpya wanajamvi,
Mimi ni kijana ninamiaka 27, ninarafiki yangu wa kike ambae ambae anataka nimpe mimba. Ila ubaya mimi sina mtoto na wala sijaoa ila yeye aliolewa na anawatoto 4. Sasa anadai anahitaji mtoto toka kwangu kulea anasema atalea mwenyewe.
Naombeni ushauri maana hali hii nimekutana nayo kwa wanawake wengi sana. Huwa nawakatalia sasa naona inajirudia.
Nisaidieni wakuu.
Atakusumbua haswa usifanye hivyoMsimamo wangu sitaki maana naona itanipa shida nikitaka kuoa
Bora umemwambia ukweli.We ungekuwa hutaki hata hapa usingekuja, you could have just stayed with your hard decission. Kitendo cha kuja hapa unapima upepo tu.
Baki na uwamuzi wako maana kuna hasara nyingi za kuzaa na mtu ambaye tayari alishakuwa na familia tena watoto wanne.
Sawa baba wa watoto wengi?
Upo vizuriwana maneno matamu lengo washike hatamu,
Utakuja jilaumu dunia uone sumu,
Watakuja kuweka ngumu wataka kwao udumu,
Mie ninawafahamu lengo lao wahujumu,
Utakuja tema nyongo, kwa visa vyao visoisha...