Anataka kunioa kisa wanawake zake wote wameolewa

Anataka kunioa kisa wanawake zake wote wameolewa

nahic huyu amekuja na style nyingine ya kutafuta mchumba hapa jf so wasaka wake kamata fursa .........
 
Wanaume wa sasa kiiila mmoja nahisi ni maamuzi tuu ya kufumania hayajafanyika. Ila kila mmoja anachapa chapa pembeni wakiamuliwa wanafumaniwa woote. Mwache tuu aende coz anaweza kuja pata mwenye pressure zaidi na asiyethamini hata kuomba samahani.
Khantwe likes this..
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh...i know that guy...player sana!! Na umri umeenda..ana over 40 yrs!! Yuko kwenye medical field..sasa yote tisa..kumi ni kuwa hataki majukumu ya kulea familia...hao aliowaacha ni baada ya kuona mahitaji ya familia yanamnyima wasaa wa kula bata!!! Sasa ww jitoe akili uolewe shost..tigo utachakazwa...na ukishazaa kwisha habari yako!!! Jiandae kuwa single parent... waulize hao watatu wote walioachwa walikuwa na ulemavu gani?? Waulize kama wanapewa hata sent tano ya matunzo ya watoto!!! Mwenzio huyo yy ni kula bata na kuhonga...kama ulivyohongwa gari...na wanae wakila nyasi..that will come to you soon!!!!
 
Yaani unamfumania anakununulia gari na hajakugusa miezi 8.... huyo jamaa anatabia nzuri Kweli...
 
Ngoja nikuambie mwanamke mwenzangu, bora tuu uolewe nae, sababu utaruka Hajakubwa utakanyaga ndogo, wanaume wa sasa hata hawaeleweki wengi ni Mabaradhuli. Huyo kakuomba tigo, utajapata anayekulazimisha tigo tena bila hata kukununulia gari. We ingia ktk ndoa ila kuwa makini kujituma kimaisha na kuzaa usizaezae hovyo, mmoja anatosha, akikuacha utamtunza

duh yaani unataka mwanamke mwenzio aliwe tigo loh! ila tamu
 
Duuuh kuna watu wanamoyo mgumu kweli yani unaenda kulala kwake afu anakuacha ivi ivi
 
Shoga usiolewe na huyo mtu wanaume wastaarabu wapo kibao mtaani,ukikosa njjoo nikupe huyu wangu kuliko kujitia kitanzi mwenyewe....
 
kuomba tigo ni baada ya kuanza uhusiano na kugegedana vya kutosha na mda ulikua umepita, hvyo nmeorodhesha baadhi ya majanga yake... sasa nahic akataka kunibikir na tigo yang.....

Si ajabu hao wengine walikimbia kwa majanga hayo, sasa wewe ukiolewa ndiyo umehalalisha maana utakuwa huwezi kukataa.

Kwa hivyo amua kukata au kunyoa kwa kuitambua hali utayokwenda kumbana nayo.
 
kuomba tigo ni baada ya kuanza uhusiano na kugegedana vya kutosha na mda ulikua umepita, hvyo nmeorodhesha baadhi ya majanga yake... sasa nahic akataka kunibikir na tigo yang.....



Huyoo hafai kuwa mume anaomba tigo kabsaa bila aibu ana laana. Achana nae ata kama anahela tafuta zako utakuja kuzipata. Na gari mrudishie.
 
Hahaha...itafikia kipindi hii mitandao mingine itakosa wateja. Naona saivi watu ni kununua line za tigo tu...jamani Jamani...!

hahahaa siku hizi kila mtu anapenda tigo tu
 
Sijaelewa....ulikuwa unaenda kula kwake siku mbili hamfanyi chochote....af akawa anaomba tigo...alikuwa anaomba tigo kabla hata hajaonja airtel? Mmmh habari ya kweli hii??

Misemo mingine bhana,,,, utabaki unacheka tu
 
Back
Top Bottom