Anataka kumuacha kisa ufupi

Teh teh teeeh!! I know darling.
Huyu kuna sababu zaidi ya ufupi bwana, hii ni excuse anatumia.
 
It ain't . Inatokea majority ya watu wa group fulani kunafanana tabia fulani, (kwa mfano wasukuma na ushamba); So sijawanyanyasa. Hata warefu tuna tabia zetu mbaya za kufananana pia
Haya tushajua wewe ni mrefu.
 
Hujamsoma vizuri? Jamaa alikuwa mkoa ndio kaja Dar kamgundua ni mfupi. So its obvious ni yale mambo yetu ya blind date halafu mnaanza kuitaba bae kabla ya kuonana mubashara na unawaambia marafiki shem wenu yuko mkoa/ulaya sasa akija ndio unagundua picha zinaeefusha,zinaremba,zinajaza misuli etc.
 
haikua blind date bana em soma post no 6....

Tulikutana nae shop flan but alikua amekaa sa ndo akaomba namba...
After hapo ktk kuwasiliana kwao,the guy akamwambia kahamishwa mkoa kikazi....saa alivorud dzm likizo ndo wakaonana fresh ndo aka notice
 
HUU ni utoto!HAWA ndio mabinti wanaopenda ubrazaman tu ktk maisha ila sio maisha.
toka lini vigezo vya ndoa vikawa kimo?tupostie picha za wazazi wako TUONE.
wewe endelea na ufuska wako usitake kueleza FIKRA ZENU mnazodanganyana na masistadu wenzako.
Hao waliokushauri eti, mtu mwenyewe mfupi,mara mweusi siku zijazo utakuta wapo nae na maisha yanaenda!
jiongeze Dada,ukiwa unapeleka mambo yako kwa mashoga zako,maisha utayaona hivihivi wenzio wanakwenda wew utasubiri.
basi mimi ni mfupi ,mke wangu ni MREFU sana ,maisha yanaenda bila shida!kama angesikiliza mashoga labda Leo angekuwa anauza baa.
 
nilidhani kimo cha kwingineko, sa kipindi wanapendana walikuwa watoto ama?
 
haikua blind date bana em soma post no 6....

Tulikutana nae shop flan but alikua amekaa sa ndo akaomba namba...
After hapo ktk kuwasiliana kwao,the guy akamwambia kahamishwa mkoa kikazi....saa alivorud dzm likizo ndo wakaonana fresh ndo aka notice
Oh kwahio siku hio hapo shop alikuwa mrefu kidogo?!
 
Kwani mwanzo had walikubaliana walikuwa hawafamiani? ama ndio yaleyale yakutongozana mitandaoni
 
Oh kwahio siku hio hapo shop alikuwa mrefu kidogo?!
kwa jinsi alivokua amekaa its vigumu kujua kama ni mfupi....af unafkr ni mfup sana basi...yani mabega yao yanapishana kidogo tu sema ndo hivyo
 
Walimeet mitandaoni nin!? Inakuaje muda wote walikuwa poah tu hadi jamaa kuja Dsm ndio kujua mapungufu yke?! Km hamtaki basi amuache asimpotezee muda wakt kuna watu wengine huko wanamhangaikia wampate kifup wa watu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…