Anataka kumuacha kisa ufupi

Licha ya upendo wa dhati wamejaliwa kimaumbile kunakoo kulee... Mtu uchague kipi important kwako,kufurahishwa ndani ama kuonekana couple nzuri nje...hupati complete package
Ni kweli, kutaka the complete package basi umba wako. Angalie kile cha msingi tu hayo ya urefu na ufupi ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, ni kitu kiko nje ya uwezo wake na hakupanga kuwa hivyo.
 
the guy alikua mkoa na alivokuja dzm wamemeet mara mbili tu ya pili ndo kagundua ufupi,mara ya kwanza haku notice mana hatukukaa nae sana
Kwahiyo walifahamiana kwenye mitandao sio,so alipokuja dar ndio wakaonana for the first time
 
Kwani wewe huna kigezo chako ?acheni habari zenu mkichagua nyie ni sawa ila tukichagua sie inakuwa tatizo. Huwezi kuwa na mtu mmesimama anakufikia kiunoni.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Men are very selfish at times, mwanamke hautakiwi kuchagua bwana wao wakichagua inatosha.
 
Sasa "msichana" unaandika kiujana mnoo. Hebu wasilisha uzi kwa kiswahili nyoofu ili tutiririke kukushauri. Hata hivyo haidhuru sana muda unao mkuu.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yaani ni shida, gubu mtindo mmoja.
Yani kuna siku nilicheka hadi aunt akanimind. Unatujua wanyaki vizuri, my aunt ni tallll ana mwili, afu mumewe ni mfupi kibonge (gubu lake sio la nchi hii). Sasa kuna mtu alienda kumuulizia aunt home hakumkuta, akamkuta uncle tu. Sasa ile mgeni anaondoka, akakutana na aunt njiani, ndo kumwambia nimetoka kwako nimemkuta mtoto wako wa kiume (uncle), aunt akapiga "wee vipi, me naweza kumzaa mtu mzima kama yule". Aunt ananisimulia amenunaa, me nilicheka hadi akanimind
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] eti mwanao wa kiume!!
Alafu sijui kwanini wanaume wafupi wanapendaga wanawake warefu.
 
Mwambie aendelee kuchagua,ila atakapofikisha 28 hakijaeleweka asimlaumu Mungu hajampa mume.wkt nafasi alishaichezea
 
Ni kweli, kutaka the complete package basi umba wako. Angalie kile cha msingi tu hayo ya urefu na ufupi ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, ni kitu kiko nje ya uwezo wake na hakupanga kuwa hivyo.
Ma', kuna vitu kweli mtu hawezi kucontrol, but kama mtu huwezi kuhandle (kuishi nacho) hicho kitu/udhaifu, it's better mtu akaquit. Usikubali kuwa na mtu kwa sababu unamuonea huruma maybe. Hajachagua kuwa hivyo, but hamnaga ndoa ya kuoneana huruma na huwezi kubeba dhaifu la kitu mtu. Kama upo comfortable then mchukue tu
 
Suala sio kumuonea huruma, bali kuangalia cha msingi ni nini!!
Kweli mtu ana qualities zote uzitakazo kisa ufupi tu umuache!! How if utampata mrefu bt hana zile qualities zingine ambazo zinamata zaidi!!

Ye aamue tu kwa kujiridhisha, hopefully hatokuwa na majuto baadae.
 
Nakuelewa vizuri, me nikiwa na mtu mfupi, aisee itabidi tu ubaki na "I tap into this" lol. But mtu mwingine ni hayupo comfortable kabisa na mwanaume mfupi, kiasi kwamba inaaffect mahusiano yao. Hajisikii comfortable kuonekana naye, and sijui kama kuna kitu kinaumiza kama kuwa na partner who isn't proud of having you. Anakuwa sawa na mwanaume ambaye ana mwanamke mnene/ hana chura na hayupo comfortable naye, au ku-date na mwanaume asiye na hela teh.

But again as you said, mtu aangalie mwenyewe what's worth the compromise, kama anaweza chagua ufupi over other qualities he possess, basi ni sawa and usishangae pia height ikawa ni deal breaker
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…