Siku hizi kupata mpenzi imekuwa rahisi sana, sio miaka yetu ya 47, unatuma hadi washenga lakini binti anachomoa π
Ndiyo maana hata ndoa zilikuwa zinadumu, mtu unawaza nikimpoteza huyu niliyenaye nitalazimika kusubiri hata miaka 3 usimpate...nani ataweza kuishi kwa nyeto miezi 36 π€ͺ
Kila la heri Mkuu, Mungu akutimizie hitaji lako πππ