Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,395
Wanajamii,
Mtajwa hapo juu ni rafiki yangu tulopotezana tangu mwaka 2008. Alimaliza Sheria UDSM mwaka 2006. Mara ya mwisho alikuwa ni Solicitor Mtwara. Mwenye kujua 'whereabouts' zake anifahamishe tafadhali au kama mwenyewe yupo hapa jukwaani ajitokeze!! - natanguliza shukrani za dhati.
Mtajwa hapo juu ni rafiki yangu tulopotezana tangu mwaka 2008. Alimaliza Sheria UDSM mwaka 2006. Mara ya mwisho alikuwa ni Solicitor Mtwara. Mwenye kujua 'whereabouts' zake anifahamishe tafadhali au kama mwenyewe yupo hapa jukwaani ajitokeze!! - natanguliza shukrani za dhati.