Haa haa haaaa!!! Mapenzi, mapenzi, mapenzi, mapenzi !! Watu wameamka vitandani lakini wanaingia maofisini wakiwaza hayo tu. Hawa ndio Great Thinkers! Kwani hata haya yanahitaji kubandika humu kila siku? Msiniquote vibaya, nimesema kila siku? Sina ugomvi na wapambe wa hayo, ila mitandao ina mengi ya kufundishana!!why all this hypocricy? i mean why?
Mkubwa kwani wewe kwenye hili unahusika vipi?
Ninamaanisha kuwa dawa ya mtu anayetaka bikra wakati yeye mwenyewe si bikra ni kupewa made in China back streets.
Halafu kwani unataka bikra ili iweje? Ndo hawa wanaobaka watoto wadogo kusaka kijishimo cha tundu la sindano, kwani karungu kako ni vipi? au saizi ya tooth pick nini? Ukishapiga ukakuta chubwi chubwi utaomba back door si ndo hivyo. Kweli uhayawani umeongezeka sana duniani.
Na ubikira hauna uhusiano kabisa na tabia njema shauri yako. Siku hizi zama za Mchina hata Kibibi gula anaweza kutengeneza tu.
Unataka bikira ya nini? Hujui hata uarabuni na uhindini wanakuta bikira ipo lakini kumbe ni ya upande mmoja na wanapigwa changa la macho bila kujua? YETU MACHO!
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.
Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.
My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.
Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.
My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?