Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,982
- 4,164
Ivi hakuna sheria ya kuwabana watu wa ivi? Mana nchi zingine kama U.S.A unapokuwa na HIV uka sex na mtu bila kumwambia wewe ni HIV+ miaka 7 jela , mana kitaani watu kibao tu wanafanya maksudi na hakuna sheria ya kuwabana
Nani atunge sheria ambayo itamkama yeye mwenyewe?