caxton
Senior Member
- May 8, 2015
- 145
- 149
Najua mmepumzika majumbani mwenu mkimalizia weekend,
Hapa kwenye shirika letu kuna jamaa mmoja ambae anaishi na HIV kwa muda mrefu sasa, wote na mkewe wanahudhuria kliniki kwa zaidi ya miaka mitano sasa, mkewe sio staff wetu ila wote wanatibiwa na yeye anatibiwa na shirika kama dependant, for the past three years amekuwa na relationship na wasichana kama 3 hivi ninaowafahamu hapa kazini.
Sasahivi anafukuzia msichana mmoja mgeni fresh from college, i mean alimaliza mwaka jana ndo tumemwajiri hivi karibuni.
Dalili zinaonekana there is something in the pipeline, maana jamaa asubuhi huwa anampitia binti kwao (lift) na jioni huenda kukaa sehemu pamoja wakipata vinywaji na baadae humpeleka kwao, na lunch pia pamoja.
Kwa sisi watu wazima hizi ni dalili za mtu anaetongoza mimi na watu wengine wawili hapa HR ndio tunaojua status ya huyu jamaa na yeye hajui kama mimi najua nilijuaje? Health insurer wetu huleta report HR ya wafanyakazi wetu kwa ajili ya auditing na mahesabu, hawaleti report ya staff wote, bali hutuletea report ya wale staff wenye magonjwa ya kudumu mfano Kisukari, Hypertension, Kidney problems, HIV na kadhalika, hii ni kwa sababu wagonjwa hawa hutumia gharama kubwa sana kulinganisha na wagonjwa wa kawaida hivyo huwa tunahitaji kufanya verification wenyewe.
Hivyo inakuja taarifa ya ugonjwa, number of visits against price. Hata hivyo taarifa hizi hubaki siri ya HR department watu wachache tu wenye access nazo, ingawa binadam ni binadam tu wakati mwingine taarifa zaweza toka nje.
At this juncture nimeshindwa nichukue hatua gani kumsaidia huyu binti bila kuleta collateral damage kwa pande zote. Katika taratibu za kazi hatuna mwongozo wa kumbana huyu jamaa kisheria, sijaona popote kwenye HR manual yetu panapombana swala la UKIMWI limeachwa kuwa la hiari sijajua kwa sheria za nchi mtanisaidia hapo.
Najiuliza kwamba inakuaje mtu anajijua ana HIV, anatumia dawa mwaka wa tano, mkewe pia hivyo hivyo, anawezaje kutongoza wasichana huku akijua ana hali hiyo? Maana huyu ni binti wa nne tangu nimejiunga na hili shirika, hao wengine walishaolewa wote lakini alitembea nao, labda kama walitumia kinga. Uvumi wa ukaribu wa hawa watu wawili umeenea kwenye idara yao yote na watu wanachukulia poa tu maana wengi hawajui status ya huyu bwana.
Wakuu,
Nawezaje kumsaidia huyu binti?
Wale wengine nilikaa kimya lakini naona trend inaendelea hivyo hivyo.
Na je nawezaje kuongea na huyu jamaa asinielewe tofauti?
Au ya ngoswe nimuachie ngoswe? Watajijua wenyewe?
Hapa kwenye shirika letu kuna jamaa mmoja ambae anaishi na HIV kwa muda mrefu sasa, wote na mkewe wanahudhuria kliniki kwa zaidi ya miaka mitano sasa, mkewe sio staff wetu ila wote wanatibiwa na yeye anatibiwa na shirika kama dependant, for the past three years amekuwa na relationship na wasichana kama 3 hivi ninaowafahamu hapa kazini.
Sasahivi anafukuzia msichana mmoja mgeni fresh from college, i mean alimaliza mwaka jana ndo tumemwajiri hivi karibuni.
Dalili zinaonekana there is something in the pipeline, maana jamaa asubuhi huwa anampitia binti kwao (lift) na jioni huenda kukaa sehemu pamoja wakipata vinywaji na baadae humpeleka kwao, na lunch pia pamoja.
Kwa sisi watu wazima hizi ni dalili za mtu anaetongoza mimi na watu wengine wawili hapa HR ndio tunaojua status ya huyu jamaa na yeye hajui kama mimi najua nilijuaje? Health insurer wetu huleta report HR ya wafanyakazi wetu kwa ajili ya auditing na mahesabu, hawaleti report ya staff wote, bali hutuletea report ya wale staff wenye magonjwa ya kudumu mfano Kisukari, Hypertension, Kidney problems, HIV na kadhalika, hii ni kwa sababu wagonjwa hawa hutumia gharama kubwa sana kulinganisha na wagonjwa wa kawaida hivyo huwa tunahitaji kufanya verification wenyewe.
Hivyo inakuja taarifa ya ugonjwa, number of visits against price. Hata hivyo taarifa hizi hubaki siri ya HR department watu wachache tu wenye access nazo, ingawa binadam ni binadam tu wakati mwingine taarifa zaweza toka nje.
At this juncture nimeshindwa nichukue hatua gani kumsaidia huyu binti bila kuleta collateral damage kwa pande zote. Katika taratibu za kazi hatuna mwongozo wa kumbana huyu jamaa kisheria, sijaona popote kwenye HR manual yetu panapombana swala la UKIMWI limeachwa kuwa la hiari sijajua kwa sheria za nchi mtanisaidia hapo.
Najiuliza kwamba inakuaje mtu anajijua ana HIV, anatumia dawa mwaka wa tano, mkewe pia hivyo hivyo, anawezaje kutongoza wasichana huku akijua ana hali hiyo? Maana huyu ni binti wa nne tangu nimejiunga na hili shirika, hao wengine walishaolewa wote lakini alitembea nao, labda kama walitumia kinga. Uvumi wa ukaribu wa hawa watu wawili umeenea kwenye idara yao yote na watu wanachukulia poa tu maana wengi hawajui status ya huyu bwana.
Wakuu,
Nawezaje kumsaidia huyu binti?
Wale wengine nilikaa kimya lakini naona trend inaendelea hivyo hivyo.
Na je nawezaje kuongea na huyu jamaa asinielewe tofauti?
Au ya ngoswe nimuachie ngoswe? Watajijua wenyewe?