Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
- Thread starter
- #21
Nilimisi hii makitu
Long time mazeee
WHERE WERE YOU???
At least am back...................
Nilimisi hii makitu
Long time mazeee
WHERE WERE YOU???
pengine kweli mimachi yako haitulii
Atakiwe awe na subira kwani penzi ni kikohozi na haliwezi kufichika...........
Adai kweli sijamtamkia, lakini ajua ninamtaka!
Adai macho yangu yanamchokoza, siju kivipi!
Adai nayo yanambipu, lakini yeye bado ni nguli!
Akiri sijamkonyeza, lakini macho yambembeleza!
Rafikize kawatonya, mimi ninamchemkia yeye!
Sijui ninachemka vipi, kwani sijalonga mie!
Kama kaandikiwa, mie kwake sina ujanja!
Itabidi nijisalimishe, hivyo awe na subira!
Kigori hasikii bali naye kunizulia majambo!
Rafikize kawatonya, mimi ninamchemkia yeye!
Ni kweli mtoto wa watu kaumbika lakini, Mmh!
Aaache domo kaya, kwani ananiaibisha mie!
Jicho halina pazia na nionacho nilete raha!
Lakini jicho kusisim'ka haimaanishi ni moyo!
Rafikize kawatonya, mimi ninamchemkia yeye!
N.B........................yatosha kwa leo!
Adai kweli sijamtamkia, lakini ajua ninamtaka!
Adai macho yangu yanamchokoza, siju kivipi!
Adai nayo yanambipu, lakini yeye bado ni nguli!
Akiri sijamkonyeza, lakini macho yambembeleza!
Rafikize kawatonya, mimi ninamchemkia yeye!
Sijui ninachemka vipi, kwani sijalonga mie!
Kama kaandikiwa, mie kwake sina ujanja!
Itabidi nijisalimishe, hivyo awe na subira!
Kigori hasikii bali naye kunizulia majambo!
Rafikize kawatonya, mimi ninamchemkia yeye!
Ni kweli mtoto wa watu kaumbika lakini, Mmh!
Aaache domo kaya, kwani ananiaibisha mie!
Jicho halina pazia na nionacho nilete raha!
Lakini jicho kusisim'ka haimaanishi ni moyo!
Rafikize kawatonya, mimi ninamchemkia yeye!
N.B........................yatosha kwa leo!
Umekumbuka nini?
At least am back...................
macho hayadanganyi eti.........
mh, emu weka picha ya macho yako hapa tujadili vizuri.
Kaunga nimekumiss aisee. Upo?una akili weye, sio tunajadili vitu vyakufikirika hapa.
my guess she likes what she is seeing and the feeling associated with it, si unajua pia kuificha sana furaha yaweza kukuchoke kama ambavyo penzi lako ni kikohozi. Kwa hiyo kushare furaha yake na shogaze sioni kama ni tatizo; do you?
ukisinzia, macho yanaona visivyokuwepo, wanasema ndoto; nyingi haziwi kweli!
Your welcome !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huyu mtu alinimaliza kwa macho yake
Ni noma huyu mwanamke............lol!!!!!!! !!!!!!!!
Mkuu mfungukie mwenzako ili akamilishe kiu yake.