Pole mkuu, kuna jamaa yangu yeye analalamika manzi wake huwa hatoi sauti hata kidogo yupo kimya kipindi chote cha tendo.
Vipi unataka kama wa namna hiyo?
inabidi wafanye sub
Pole mkuu, kuna jamaa yangu yeye analalamika manzi wake huwa hatoi sauti hata kidogo yupo kimya kipindi chote cha tendo.
Vipi unataka kama wa namna hiyo?
Anakwambia hata majiran huwa wanadhani anampiga so itakuwa sio miguno ni mikelele.Yaani dada wa watu anasikilizia utamu wa tendo wewe unaona kero. Kila mmoja ana namna yake ya kurespond anapokunwa vyema.
Kutoa miguno ya mahaba sio kelele.
Kelele ni sauti zisizo na mpangilio miguno na kilio cha mahaba kina mpangilio kama upo makini wakati anatoa hiyo miguno.
Kama unakwenda kwa spidi utagundua kuwa anatoa sauti haraka haraka,ukipunguza spidi pia anapunguza speed.
Anapokaribia kufika lazima atakuwa ana punguza kama injini ya gari unapobadilisha gear.
Note: Hizo sio kelele ni mwitikio wa mkeo kwa vile anavyojisikia.
Jipange ukae mahali ambapo atakuwa huru kutoa sauti.
hii sehemu imenifanya nicheke hadi ushauri umepotea...!!!!Nikiongeza sauti ya subwoofer au TV na yeye anazidi kupaza sauti. Nafikiria nimwache ila bado nawaza maana ana mimba ya miezi miwili.
Kuna mtu alikulazimisha kuoa mwanamke mwenye imani na CCM?Nimeoa muda si mrefu binti wa kitanga.
Toka tupo kwenye uchumba alikuwa na tabia ya kulia kwa sauti wakati wa tendo la ndoa.
Nilikaa naye nikamwambia hii tabia ya kulia wakati wa tendo siyo nzuri maana tukiishi kwenye nyumba ya kupanga utawakera watu .
Akahaidi ataiacha nikimuoa. Sasa tuna miezi minne tu tunaishi kwenye nyumba ya kupanga lakini yeye ndiyo kelele zimeongezeka hadi majirani wanalalamika wanahisi mimi labda nampiga.
Nikiongeza sauti ya subwoofer au TV na yeye anazidi kupaza sauti. Nafikiria nimwache ila bado nawaza maana ana mimba ya miezi miwili.
Kha! Acha hizo babuKuna mtu alikulazimisha kuoa mwanamke mwenye imani na CCM?
Umenena sawa sawa, wanawake wa namna hii bila shaka hawakufundwa, sitashangaa kama atakua na tabia ya kutoa mambo yake ya ndani kwa majiraniHana lolote Hashuo tuu, asitukanishe watanga, kwa raha gani mpaka afungue mdomo to that extend? wakati alishaanza kuusikilizia kabla,mwambie ivi somo yake hakumfundisha kelele zinakua na limit sio za kuku put off?