Na usikute anamuigizia tu hana hata anachokifurahia.Huyo ni mchochezi, haiwezekani ashindane na sauti ya radio!!! Kwenye ule mchezo bhana zile sauti sio za kusumbua mtaa wa pili, ni za kuchochea tendo!!!
Mkuu mbona hiyo ndo starehe yenyewe? Nipe Mimi.nimeoa muda si mrefu binti wa kitanga.toka tupo kwenye uchumba alikuwa na tabia ya kulia kwa sauti wakati wa tendo la ndoa.nilikaa naye nikamwambia hii tabia ya kulia wakati wa tendo siyo nzuri maana tukiishi kwenye nyumba ya kupanga utawakera watu .akahaidi ataiacha nikimuoa. Sasa tuna miezi minne tu tunaishi kwenye nyumba ya kupanga lakini yeye ndiyo kelele zimeongezeka hadi majirani wanalalamika wanahisi mimi labda nampiga. Nikiongeza sauti ya subwoofer au tv na yeye anazidi kupaza sauti. Nafikiria nimwache ila bado nawaza maana ana mimba ya miezi miwili.
Hayo ni maigizo toshaNa usikute anamuigizia tu hana hata anachokifurahia.
Kabisa mwaya mana tunavyojua siku zote zile kelele zina mipaka.Hayo ni maigizo tosha
Ni kutiana aibu tuuKabisa mwaya mana tunavyojua siku zote zile kelele zina mipaka.
Itakuwa huyo kaamua tu kuwarusha roho majirani zake muache tu atakipata anachokitaka.
Hahahaaa! Sidhani kwa kweli mana siku zote hizo kama ungekuwa huo mguu wa mtoto angekuwa ameshauzowea bana.labda una mguu wa mtto unamuumiza
Somo ndiyo nani ?? ( hebu nijuze )Hana lolote Hashuo tuu,asitukanishe wa Tanga,kwa raha gani mpaka afungue mdogo to that extend? wakati alishaanza kuusikilizia kabla,mwambie ivi somo yake hakumfundisha kelele zinakua na limit sio zakuku put off?
Mmh mguu wa mtto hauzoeleki wanavyosema wenyeweHahahaaa! Sidhani kwa kweli mana siku zote hizo kama ungekuwa huo mguu wa mtoto angekuwa ameshauzowea bana.
Anajichetua tu huyo.
Sio kuuzoea tu, asingekubali Kuolewa naeHahahaaa! Sidhani kwa kweli mana siku zote hizo kama ungekuwa huo mguu wa mtoto angekuwa ameshauzowea bana.
Anajichetua tu huyo.
KungwiSomo ndiyo nani ?? ( hebu nijuze )