anapenda wezere

anapenda wezere

mtz one

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
4,275
Reaction score
1,222
wanajamvi salaaaam
mi ni mgeni anga hizi lakini kwa kuwa kila jukwaa humu la great thinkers basi naomba nitiririke kwa id yangu hii hii tofauti na waheshimiwa wengine wanashiriki hapa MMU kwa id fake.

jamani mimi nina rafiki yangu amekuwa addicted kabisa na wezere hawezi kula mbunye kabisa zaidi ya wezere na hii imemsababishia kukimbiwa na wake zaidi ya 6 sasa amekuja kuomba ushauri kwangu nami nikaamua kuja hapa kwa wadau naamini ntapata msaada wa kutosha. JEE ACHUKUE HATUA GANI ILI AACHE KUTUMIA WEZERE????

natambua uwepo wa watu8 Paloma @lara1 Lady doctor Baba V Mtoto halali na hela MadameX @exellent Lunyungu Yericko Nyerere sweetlady mahundumula na mwungwana na woote ambao sijawataja itifaki imezingatiwa naomba kuwasilisha
 
Last edited by a moderator:
Wezere ni sawa sawa na ule mtandao? Maana mitaa ya huku hilo neno lina maana nyingine (Vijana wanamaanisha wowowo kwa huku kwetu).

Ushauri wangu wamuweke kikao familia nzima wamseme kuhusu huo ufirauni wake.
 
ww mshaur 2 aache hyo mambo kwn kama n wakubadlka atabadlka na kama n mkaid n mkaid 2. Kwn tabia ya m2 n kama ngoz so vgumu kuibadlsha.
 
Mtafutie demu mkorofi, akimseduce na kulegea pale atakapomtaka wezere huyo demu amparue jamaa yako hadi atoke vidonda bila shaka ataacha tu.
 
Wezere ni sawa sawa na ule mtandao? Maana mitaa ya huku hilo neno lina maana nyingine (Vijana wanamaanisha wowowo kwa huku kwetu).

Ushauri wangu wamuweke kikao familia nzima wamseme kuhusu huo ufirauni wake.
ndo huo huo mkuu nimechukua ushauri asante
 
Last edited by a moderator:
mtz one; Mkuu mbona wauliza hela kwenda kwa Nabii Flora, kwani maombi yanalipiwa?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom