Binafsi namshauri akomae na chuo, ikiwa atakuwa ni Mtu wa kukata tamaa kila anaposhimdwa kufanikisha Jambo fulani hata kwenye hayo maisha mengine hawezi kutoboa. Hakuna kukata tamaa ajifunze anapoanguka ajikung'ute vumbi asonge mbele na sio kuahirisha safari.