ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,768
- 127,907
Acha ukorofi mzee, kama vipi njoo hapa Ubungo tuzichapeš¤£ikibidi...š
Acha ukorofi mzee, kama vipi njoo hapa Ubungo tuzichapeš¤£ikibidi...š
Hilo jibu la nina mtu wangu siku hizi sikutani nalo sana, siku hizi nakutana na jibu la "niko busy" ndimbwaWanawake wengi ukiwafata kuwatongoza wanasema Wana watuwao ....
Wanaume wengi Cha ajabu wako single
Hao watu wa wanawake ni akina nani ?
šYani wadada wengi siku hizi pesa mbele, sijui taasisi ya ndoa itakuja kuwaje huko mbeleni stephotHapa ndio pale unakuta unasema mimi siwezi kutembea na mwanamke anayejiuza,halafu huku unaingia kwenye mtego mwingine,nikupe ngapi kila tukikutana,solution ni kuacha zinaa tu...
Wewe ndio dhaifu chezea tu hizo nguvu zako kufirahisha wanawake fainali uzeeniUmeonesha udhaifu mkubwa sana.
Niko njiani lazima jino likutoke!Acha ukorofi mzee, kama vipi njoo hapa Ubungo tuzichapeš¤£
Merry Christmas in Advance Mama.Hela tunaomba mpaka mnakereka mnaamua kutoa.
Tutaomba tu hela.
ohooo! laleki.."Mapenzi ni hela vingine tunaelekezana" By Happy 2024š¤£
Mwingine anasema anamtu ili kuepuka usumbufu?Here you are speaking...lakini uko sure wanawake wote Wana watu wao? Na mbona ukiwataka wanasema Nina mtu?
Hapa ndo mnapokosea, na ndo maana hawakomi kuomba pesa maana mnaondoka ki jentromenMwamba (mtoa mada) amefeli jambo moja tu, kama mwanamke anakuomba hela na unaona hakuna haja ya kumpa unapiga kimya na si kuandika paragraph ndefu.
Umejua mwanamke anauza ukienda kubali kununua hata kwa bargain, ukishindwa ondoka ki-jentromenišš
Akionekana apeche shida iko wapi!? Mwanaume anayejitambua hatoi pesa yake ovyo na hanunui qumerAcha ujinga wa kujiliza maneno kibao mtu kashakuambia toa hela unaanza kuelezea maneno kibao hapo kashakuona wewe ni apeche alolo
Ukimkaza sana unakuwa umemkomoa au umempa raha sana? Mwisho wa siku anayeumia ni mwanaume.Akiomba Sana Hela Nawe Hakikisha Unamkaza Sana
Basi kapige nyeto unafikiri Sasa hivi Kuna demu anahuruma na masikiniAkionekana apeche shida iko wapi!? Mwanaume anayejitambua hatoi pesa yake ovyo na hanunui qumer