Anaomba nizae nae

Anaomba nizae nae

Mimi ni mfanyakazi wa serikali kwa bahati mbaya nimejaaliwa huruma.
Nina watoto wanne kila mmoja na mama yake na kila mmoja ana historia yake ya kuachana nao.
Hivi majuzi kuna mchepuko umenitamkia wazi kuwa anataka mtoto,umri umeshamuenda sana.
Nimeingiwa na huruma sana na kwa vile yeye ni mwajiliwa serikalini akili imeniambia nizae nae tu atalelewa vyema na mama yake sababu imekuwa kawaida ya siku hizi kuwa na single mama.
yeye presha imemtawala kwani hivi karibuni aliambiwa ana uvimbe na ili usiwe kero azae mtoto.
Karibuni tena alinikutanisha na ndugu yake,baadae akanionesha sms ya ndugu ake alienioneshea akimwambia hata huyu ameshindwa kukupa ujauzito?.Siku nyengine ilibahatika kumuona baba yao,niliingiwa na huruma na kujiuliza mkwe hana hata mjukuu wa kumpigia kelele,huruma tu.
Jamani nimeingiwa na huruma na mke wangu alishanasa mawasiliano na ameanza kuufuatilia huu uhusiano wetu natamani nimwambie tu kuwa huyu nae ana taka mtoto tu.
Nisaidieni nitaeleweka nyumbani?huruma imenijaa na naona hakuna sababu ya yeye kuwa mnyonge kisa mtoto.
Fyatua tu kijana, Ila kama anauwezo wa kumlea mtoto mpe mbegu azae
 
Kaka umemaliza. Maana hawa wadada wanaokwambia kuwa wanataka wakuzalie huwa wana tatizo au wana presha kutoka kwa ndugu au marafiki.
Si vizuri ukamjaza kweli maana kibao kitakugeukia mbeleni upate shidah
Mkuu nmeshalielewa hilo !! .
 
baba huruma sambaza mbegu izo jamaa atasomesha bureeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom