EmmanueldTz
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 286
- 256
Ndugu ndugu kuna mtu anaitwa kiduku lilo akisikia au kusoma uzi huu atalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
MPE hyo hela halafu mpotezee usimtafute wala usimtext akikutext usijibu Fanya kwanza hvyo .....usiulize maswali we nisikilize
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure kama uko vizur mtumie tu hela boya huyo halaf tembea.Achana nae kabisaa..Kama uko vizuri we mtumie hela, then mpotezee for good. Kwani kitu gani...
She's not worth your time, atakusumbua tu. Fanya issue zingine za msingi.
Hapo ukute kuna mtu akimuita ghetto chap anaenda, hawa wanawake wasikie tu...
Ila kama upo vizuri mtumie hiyo hela, huenda ipo siku atakumbuka fadhila zako na kulipa kwa njia ya penzi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ukute kuna mtu akimuita ghetto chap anaenda, hawa wanawake wasikie tu...
Ila kama upo vizuri mtumie hiyo hela, huenda ipo siku atakumbuka fadhila zako na kulipa kwa njia ya penzi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae...anatake advantage ya hisia zako kwake...!!mpotezee...!!hyo text ucjibu na ucmtafute
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahahahahha.Mtumie meseji mwambie fulani mimi umekula pesa yangu muda mrefu saana.
Sasa ya leo naomba uifanyie kazi...njoo unipe papuchi kisha nitakupatia hiyo pesa mama.
Akikaa kimya nawe kaa kimya. Akikujibu vibaya kaa kimya. Reply meseji yake pale ambapo atasema haya nakuja kwako kukupa papuchi.
Heri kujua tu hupo single, kuliko kuwa na jini mnywa maji kama huyo.
Acha bwana....wewe unapenda kumwagiwa mwagiwa maji eeeh?We si tauloo, mmwagie maji kisha umfute