MPE hyo hela halafu mpotezee usimtafute wala usimtext akikutext usijibu Fanya kwanza hvyo .....usiulize maswali we nisikilize
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kuna kitu haujamuelewa huenda ndo hakutaki na ndio njia ya kukufurumusha! Au haujiongezi!!! Weka vikwazo vya msaada ili akubali kutoa penzi akikataa uma kona.
Huyo piga chini, atleast angejibu tongozo lakini sio kuleta janjajanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uko vizuri we mtumie hela, then mpotezee for good. Kwani kitu gani...
She's not worth your time, atakusumbua tu. Fanya issue zingine za msingi.