Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 26,953
- 49,705
Nimemkumbuka my ex bwana jamaa alikuwa na mashauzi yule gari kali simu kali ila ndani kwake godoro tu hakuna kitanda wala kochi au sofa kupika ilikuwa sufuria mbili chakavu.
Nimemkumbuka my ex bwana
Jamaa alikuwa na mashauzi yule gari Kali simu kali ila ndani kwake godoro Tu hakuna kitanda wala kochi au sofa
Ku
Kumbe we ni binti?
We nyani ulidhani me mwanaume? Me mmama hii post nimeikosea kumbe imejipost
sasa sufuria,sofa vya nini wakati mi naingia ndani kulala tu?!Nimemkumbuka my ex bwana
Jamaa alikuwa na mashauzi yule gari Kali simu kali ila ndani kwake godoro Tu hakuna kitanda wala kochi au sofa
Kupika ilikuwa sufuria mbili chakavu
wenzako tunajadili content wewe unajadili ID, pole bado hujanipataChoka pole kwa uchovu
imefika kichaa wangu, tano kwako piaMchizi wangu peterchoka kula tano popote ulipo
Amina Aminia Babaake..imefika kichaa wangu, tano kwako pia
Na hiyo haja ijulikane kama ni ndogo au kubwaWeka picha tukuone kama wa haja!!
Kazi ipo..!We nyani ulidhani me mwanaume? Me mmama hii post nimeikosea kumbe imejipost
Ishu ilikuwa ni gari kaliKwahiyo umeamua kumuanikia maisha yake hapa?
Masharti ya mgangaNimemkumbuka my ex bwana
Jamaa alikuwa na mashauzi yule gari Kali simu kali ila ndani kwake godoro Tu hakuna kitanda wala kochi au sofa
Kupika ilikuwa sufuria mbili chakavu
hizi picha kwakweli too much sasa
Haahaaaa......Ishu ilikuwa ni gari kali
Kama Ilikuwa ndo Furaha yake?Nimemkumbuka my ex bwana jamaa alikuwa na mashauzi yule gari kali simu kali ila ndani kwake godoro tu hakuna kitanda wala kochi au sofa kupika ilikuwa sufuria mbili chakavu.