M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
kupigwa risasi 30 na kuendelea kuishi!Kwani kupigwa risasi 30 na kwenda kuishia hospitali ndiyo uwanaume?
Sasa hapo uwanaume ni upi?
kupigwa risasi 30 na kuendelea kuishi!Kwani kupigwa risasi 30 na kwenda kuishia hospitali ndiyo uwanaume?
Sasa hapo uwanaume ni upi?
Wanaume washafanya yao na sasa hivi imebaki story ya watu wasiojulikana tu.kupigwa risasi 30 na kuendelea kuishi!
Mbona waluza madawa akina Escoba yule wa kigamboni na wenzake walihamishwa toka kisutu kupelekwa huko marekani?,kama hilo limewezekana na la mange linaweza wezekana,ni suala la muda tuWanasheria wetu hawajuagi haya mambo kazi kusign mikataba
Serikali ina mkono mrefu sana , ila naona serikali ya sasa ina mambo mengi muhimu ya kufanya .