Analysis: Republic vs Mange Kimambi

salute @masamila!walete waleteeeee!toroka ujeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! mwaka huu sirro ataganda had OVARIES
 
Hakuna case hapa ya kumkamata Mange Kimambi. Tena unaweza kukuta mange anatumika vizuri..... sasa nyie tumieni maguvu muone.
 
MIMI NASHAURI SERIKALI IBADILISHANE MGODI WA ALMASI NA MAREKANI ILI KUMPATA MANGE

HUYU MANGE ANADISTURB MPANGO WA KUPATA VIWANDA.

(Oh sory akili za mlevi)
 
upload_2018-2-21_17-24-11-png.699250
 
Serikali ina mkono mrefu sana , ila naona serikali ya sasa ina mambo mengi muhimu ya kufanya .
 
Wanasheria wetu hawajuagi haya mambo kazi kusign mikataba
Mbona waluza madawa akina Escoba yule wa kigamboni na wenzake walihamishwa toka kisutu kupelekwa huko marekani?,kama hilo limewezekana na la mange linaweza wezekana,ni suala la muda tu
 
We mbwa mange kafanya uhalifu gani? Unahangaika na uhalifu wa mtandao kutoka nje wkt kuna mbwa wenzio ccm wanawafanyia uhalifu physical watz wenzako kwa kuwaua kuwatesa kuwafunga na kuwanunua km biashara ya utumwa?
Shughulika kwanza na hao wauaji wanaoonekana mchana kweupe badala ya huyo mtetezi wa watz....
Nimejuandaa sn kusambaza kwa gharama kubwa vipeperushi nyumba kwa nyumba km alivoshauri DADA WA TAIFA
Watz wanamwelewa zaidi MANGE kuliko huyo mhuni anayejenga viwanda chato
 
Mtoa mada umejitahidi kueleza japo naona umefeli kuwaeleza wadau direct kwamba haiwezekani kumkamata mange kimambi akiwa marekani kwa sababu 1.mashtaka ni ya kisiasa
2.hakuna kosa alilotenda mange kwa sheria za marekani
According to Public international law...kama unahitaji kum extradict mtu yoyote(your citizen) ni lazima maombi yako yaeleze sababu/ makosa aliyofanya kama mashitaka ni ya kisiasa HAIKUBALIKI.
Hivyo mange awe raia wa marekani au la kumshitaki Haiwezekani.
 
Uyo Serikali imemuacha tu.. Ingetaka wala msingemsikia tena.. Kwanza sometime anasaidia kutatua kero..

Kurudi hawezi, huko aliko anaishi kwa hela ya Child support ya Ex husband wake familia yake ndo hiyo imetia aibu mzee wake inasemekana kafanyiziwa nyuma, Sasa hapo alipo anajiona she has nothing to lose, yani kashakata tamaa, ndo maana anaona bora afanye kazi za hatari km izo
 
Hapa namimi ninafikiria kitu na kuuliza" je ikitokea siku tunasikiliza magazeti redioni halafu unasikia leo Mange Kimambi anawasili Dar saa saba mchana akitokea USA, anakuja kuendeleza jitiada zake za kisiasa hasa kuikosoa serikali iliyopo madarakani kwa yale yanayoendelea nchini
 
Hamumtakii memae huyu dada. Ingekuwa vyema akashauriwa namna bora ya kuendesha harakati zake na si kwa staili hii.Wengi wa wanaomshabikia wanasahau kuwa ndani ya America hata mtoto wa miaka 14 anaweza kumiliki silaha japo si kihalali.Kwa maana hiyo watu wasije shangaa kusikia kuwa ameshambuliwa huko huko alipo. Ná si kurudishwa ili ashitakiwe kama wengi wanavyodhani.
 
itawasaidia sana kuendelea kutesa na kuua raia(kitu ambachohawawezi kuacha awamu hii) maana mpiga kelele atakuwa keshadhibitwa
 
Serikali ina mkono mrefu sana , ila naona serikali ya sasa ina mambo mengi muhimu ya kufanya .

Serikali ya awamu hii mkono wake umeshindwa kuvuka bahari kama kipindi kileee cha Daudi Balali.
 
Kwani makosa ya mange ni yapi?! Mtu kumchukia mtu siyo kosa, ila ikiwa atamjeruhi hilo kosa. Deformation of character ni kosa, lakini ambaye anahisi kuwa character yake imekuwa deformed afungue kesi. Wao wazuri kutuambia sisi walala hoi tuende mahakamani, mbona wao hawaendi mahakamani kufungua mashitaka dhidi ya mange?!Waongo na wanamsingizia, Mange anasema wasiyotaka tuyafahamu lakini wanasema eti huko ni kuvunja sheria, watuambie wao basi, kwanini wanasubiri huyo Mange aseme ndio waje kufafanua?!
Wafanye kazi waachane na mange.
 
Back
Top Bottom