kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,696
- 2,158
Sasa hilo ni kosa linalofanana kwa nchi zote mbili, au hujasoma vizuri alichokisema mtoa mada?Mbona waluza madawa akina Escoba yule wa kigamboni na wenzake walihamishwa toka kisutu kupelekwa huko marekani?,kama hilo limewezekana na la mange linaweza wezekana,ni suala la muda tu
