Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
We mpira umekukalia kushoto si bure
Hebu nisaidiw kuurudisha kulia huo mpira
We mpira umekukalia kushoto si bure
Anakudanganya sana uyo jamaa....tulitoka 2-2 na mancity....
Aaaah basi nitaenda kumwambia aache kunidanganya
Hadi wewe?????? Jana nilishindwa kulala kwa matokeo yale
pole jamani ungemeza piritoni
Unanidai zawadi
Mie najua siku hizi upendo wako kwangu umeisha ndo maana hata sikuulizi ulizi
Au sindano ya maumivu
Atakuwa haamini anachokishuhudia eti..anapekecha tu jicho hapo
mbavu zangu miee duuuu...