Nahman
JF-Expert Member
- Oct 4, 2023
- 522
- 1,521
Hi ni ajabu,
Huyu bi dada sijui anawawaza nini
Anyway
Kuna mdada mmoja nipo nae kwenye mahusiano,
Japo mahusiano yetu sio yale stroong ,tunawasiliana ila sio kwa kiasi kile kuna kipindi alisema anataka tuzae, nikamkatalia na kumuambia sihitaji kuwa na mtoto kwa sasa.
Tukaachana na hizi habari kwa kipindi kifupi,
Sasa hapa juzi ananambia haoni tena siku zake na blah blah kibao. Msimamo wangu kwake ni jle ule mimi sitaki kuwa na mtoto kwa sasa ila haniewi na hasikii tena.
Anadai eti ni bahati mbaya na istoshe yeye ni nesi na kwa kipindi choote tulichokua pamoja hajawahi kushika mimba.
Why this time?
Huyu bi dada sijui anawawaza nini
Anyway
Kuna mdada mmoja nipo nae kwenye mahusiano,
Japo mahusiano yetu sio yale stroong ,tunawasiliana ila sio kwa kiasi kile kuna kipindi alisema anataka tuzae, nikamkatalia na kumuambia sihitaji kuwa na mtoto kwa sasa.
Tukaachana na hizi habari kwa kipindi kifupi,
Sasa hapa juzi ananambia haoni tena siku zake na blah blah kibao. Msimamo wangu kwake ni jle ule mimi sitaki kuwa na mtoto kwa sasa ila haniewi na hasikii tena.
Anadai eti ni bahati mbaya na istoshe yeye ni nesi na kwa kipindi choote tulichokua pamoja hajawahi kushika mimba.
Why this time?