Anakula raha mbaya..

Anakula raha mbaya..

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1398243197.567321.jpg
 
Mr Rocky upo baba? Moyes imekuaje tena? Naskia Arushaone ndio anaifundisha man u kwasasa, msaidizi wake Mndengereko
Nipo mkuu utafiti mzima aise
Pasaka ukala kimya kimya ukaona wageni tutakuwa wengi sana
Moyes bana tumemchoka yeye anabaki sehem ile ile tuu hasogei wala hafurukuti kutaka kujiondoa Arushaone amepeleka vitunguli tuone kama vitasaidia na Mndengereko anaenda eti kuwafundisha mazoezi ya kuogelea sasa sijui mpira na kuogelea wapi na wapi
 
Last edited by a moderator:
Nipo mkuu utafiti mzima aise
Pasaka ukala kimya kimya ukaona wageni tutakuwa wengi sana
Moyes bana tumemchoka yeye anabaki sehem ile ile tuu hasogei wala hafurukuti kutaka kujiondoa Arushaone amepeleka vitunguli tuone kama vitasaidia na Mndengereko anaenda eti kuwafundisha mazoezi ya kuogelea sasa sijui mpira na kuogelea wapi na wapi

Pasaka hii nilikua mgeni wa mtu kaka. Ugeni hadi raha
 
Last edited by a moderator:
Nipo mkuu utafiti mzima aise
Pasaka ukala kimya kimya ukaona wageni tutakuwa wengi sana
Moyes bana tumemchoka yeye anabaki sehem ile ile tuu hasogei wala hafurukuti kutaka kujiondoa Arushaone amepeleka vitunguli tuone kama vitasaidia na Mndengereko anaenda eti kuwafundisha mazoezi ya kuogelea sasa sijui mpira na kuogelea wapi na wapi
yanasaidia kukata kitambi mku si unaona wachezaji wamekuwa wazito wananenepeana hovyoo.
 
moyes kazingua tumempiga chini sasa hivi tumemweka giggs aongoze timu lakini maagizo yote anapata kutoka kwetu moyes alikuwa anajifanya hasikii maagizo yetu ndo maana timu ikamshiinda

Huoni kama mwisho wa man u ndio umefika kaka?
 
mkuu nipo sana busy busy kidogo tu ila napatikana.labda useme nina hangover za swimming maana this pasaka it was crazy

Dah natamani sana swiming aise yaani nikipata nafasi hiyo ni balaa japo sasa nahitaji mwalimu bana wa kunifundisha
 
Nipo mkuu utafiti mzima aise
Pasaka ukala kimya kimya ukaona wageni tutakuwa wengi sana
Moyes bana tumemchoka yeye anabaki sehem ile ile tuu hasogei wala hafurukuti kutaka kujiondoa Arushaone amepeleka vitunguli tuone kama vitasaidia na Mndengereko anaenda eti kuwafundisha mazoezi ya kuogelea sasa sijui mpira na kuogelea wapi na wapi

MORE YES (Moyes) is MORE NO and he is gone forever......!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom