Anakula raha mbaya..

Anakula raha mbaya..

Raha gani wakati kakunja miguuu????? kitanda kidogo. Raha ya kulala ujinyooshe ujiachieee uwanja upanaaa

Naam, raha unyooshe miguu na kubembeabembea kidogo na mamaa pembeni. Huko ndio kula raha mkuu.
ImageUploadedByJamiiForums1398259761.716040.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 
hivi wangedondoka tungeenda kuwatibu India kwa kodi zetu au?

Kuna watu wapo hapo chini ambao wamesafiri kwa kodi yako tayari kuwadaka kama watadondoka. Mkuu lazima ale raha na mamaa ili akirudi awe anafanya kazi bila stress.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Dah natamani sana swiming aise yaani nikipata nafasi hiyo ni balaa japo sasa nahitaji mwalimu bana wa kunifundisha
usijali i will be your swimming master when you get the chance.ila mmi ni mzee wa swimmming pool ukitaka maji ya baharini mtafute utafiti
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom