sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Huu ndio ushauri tuliompa mwanzo kuwa amtafutie shughuli ya kufanya, lakini kama walivyosema wazazi wa binti siku ya harusi yule mwanamke hataki kufanya kazi ni mvivu sana.
:juggle: kumbe jamaa tangu hajaoa anajua mwanamke ni kiburi na mvivu sasa anatala ushauri gani wakati wazazi walishampa go ahead??alaa watu wengine bwana..kweli inawezekana ana psychological problem kama mdau hapo chini alivyosema..aaii uzoba mwingine unatia hasira