Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Huyo jamaa pumbavu sana,ushauri wa mwisho ninampa ni huu. Ahamie hotel 1 week azime simu, aombe likizo ofisini yeye awe wa kula kulala hotelini tu. baada ya hiyo wiki moja arudi nyumbani. Kama huyo mwanamke hajaacha hiyo tabia basi amrudishe kwa wazazi wake akafundwe upya, biashara huria akileta gozi gozi kuna watu wako tayari kuolewa bila misimamo ya kijinga kama yake.