Anajiita Blogger Maarufu Tz Nzima!!!

Anajiita Blogger Maarufu Tz Nzima!!!

watu wanamkubali alafu wanamtukana tena?

Mkuu umetumwa au,.

Watoto wadogo chakula chao huwa ni maziwa. Wewe ni mtoto mdogo, uzi huu unakuzidi kimo. Huwezi kuelewa content ya nilicho kiandika hapo juu! But u know what? Hongera sana, komenti yako nimeiona!!!
 
Ni kweli....aliposoma tu ile habari akakimbilia moja kwa moja kwa Mh. ili awe a kwanza wa kupiga naye picha. Huyu alilimwa talaka na mkewe Marekani kwa ujinga huu huu wa umbea. Yaani haka kajamaa kanakaribia 50 years old ila kana akili za kipashukuna na utoto sana.

watu wanasema sio 50 mkuu now ni 56!!!!!
 
Mtu mmoja mwenye hekima aliwahi kusema hivi : " UKIONA WATU USIO FAHAMIANA NAO WANAKUCHUKIA, BASI JUA WANAKUKUBALI SANA, ILA WANACHUKIA KWANINI WANAKUKUBALI "

Kwa muda mrefu sasa tangu aanze kujihusisha na masuala ya Social Network, Lemutuz amekuwa muhanga wa lugha za dharau, kejeli na matusi kutoka kwa watu mbalimbali wanao tumia mitandao hiyo.

Kila mara jina la LEMUTUZ linapotajwa hapa JF au kule Tanuru la Fikra basi kinacho fuatia huwa ni lugha za matusi, kejeli na kashfa. Watu wengine wanatoa lugha komenti zao katika namna inayo onyesha kuwa wana uchungu sana mioyoni mwao....

Nilijaribu kufanya uchunguzi wangu kujua ni kitu gani kinacho wafanya watu wamchukie Lemutuz kwa kiwango hicho? Sikupata sababu yoyote ya msingi, isipokuwa nilicho kiona ni hicho hapo juu nilicho kisema. Watu wanamkumbali Lemutuz but wanachukia kwanini wanamkubali Lemutuz, mwisho wa siku wanaishia kuexpress their feelings kwa kuandika lugha zisizo faa dhidi ya brother huyu.....


Kwa sisi watu tunao tazama mambo kwa jicho la INRI huwa hatupendi kuona mtu anaonewa bila sababu ya msingi. Tunaamini hakuna mtu aliye mkamilifu...

Enhe, kwaiyo? Ungekua hapa karibu ningekwambia tusogee pembeni ambapo hakuna watu nikuchape kichapo cha mwizi. Mi ngese mingine bana!
 
Ze big show.Le Mutuzii mutoto ya mjini.watachonga sana ila unapunga pkipupwe.ndani ya muj8iii
 
Mtu mmoja mwenye hekima aliwahi kusema hivi : " UKIONA WATU USIO FAHAMIANA NAO WANAKUCHUKIA, BASI JUA WANAKUKUBALI SANA, ILA WANACHUKIA KWANINI WANAKUKUBALI "

Kwa muda mrefu sasa tangu aanze kujihusisha na masuala ya Social Network, Lemutuz amekuwa muhanga wa lugha za dharau, kejeli na matusi kutoka kwa watu mbalimbali wanao tumia mitandao hiyo.

Kila mara jina la LEMUTUZ linapotajwa hapa JF au kule Tanuru la Fikra basi kinacho fuatia huwa ni lugha za matusi, kejeli na kashfa. Watu wengine wanatoa lugha komenti zao katika namna inayo onyesha kuwa wana uchungu sana mioyoni mwao....

Nilijaribu kufanya uchunguzi wangu kujua ni kitu gani kinacho wafanya watu wamchukie Lemutuz kwa kiwango hicho? Sikupata sababu yoyote ya msingi, isipokuwa nilicho kiona ni hicho hapo juu nilicho kisema. Watu wanamkumbali Lemutuz but wanachukia kwanini wanamkubali Lemutuz, mwisho wa siku wanaishia kuexpress their feelings kwa kuandika lugha zisizo faa dhidi ya brother huyu.....


Kwa sisi watu tunao tazama mambo kwa jicho la INRI huwa hatupendi kuona mtu anaonewa bila sababu ya msingi. Tunaamini hakuna mtu aliye mkamilifu...
Rubbish!
 
..muanzisha Uzi, em naomba unifahamishe huyu mtu, Ni nani kwani na huwa anajishughulisha na nn, mara sijui le mutuz amefungiwa, Ni nini kwani au Ni Mimi ndo nimepitwa na wakati?,
 
Enhe, kwaiyo? Ungekua hapa karibu ningekwambia tusogee pembeni ambapo hakuna watu nikuchape kichapo cha mwizi. Mi ngese mingine bana!

We jamaa unanikubali sana wewe!
 
..muanzisha Uzi, em naomba unifahamishe huyu mtu, Ni nani kwani na huwa anajishughulisha na nn, mara sijui le mutuz amefungiwa, Ni nini kwani au Ni Mimi ndo nimepitwa na wakati?,

Hama huko kwenu Isungachupi, njoo mjini utamjua tu
 
Back
Top Bottom