TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,649
- 1,128
no time to rest.
View attachment 161226
View attachment 161226
Mi nilikuwa kwenye kazi yangu ya Ulinzi maeneo hayo mkuu!!
inawezekana na yeye alikuwa kazini au anaenda kazini.
Are you serious ni 56 na ana act like that? Sasa naelewa kwa nini mkewe kule Marekani alimtwanga jamaa talaka mpaka akarudi Bongo.
Mtu mmoja mwenye hekima aliwahi kusema hivi : " UKIONA WATU USIO FAHAMIANA NAO WANAKUCHUKIA, BASI JUA WANAKUKUBALI SANA, ILA WANACHUKIA KWANINI WANAKUKUBALI "
Kwa muda mrefu sasa tangu aanze kujihusisha na masuala ya Social Network, Lemutuz amekuwa muhanga wa lugha za dharau, kejeli na matusi kutoka kwa watu mbalimbali wanao tumia mitandao hiyo.
Kila mara jina la LEMUTUZ linapotajwa hapa JF au kule Tanuru la Fikra basi kinacho fuatia huwa ni lugha za matusi, kejeli na kashfa. Watu wengine wanatoa lugha komenti zao katika namna inayo onyesha kuwa wana uchungu sana mioyoni mwao....
Nilijaribu kufanya uchunguzi wangu kujua ni kitu gani kinacho wafanya watu wamchukie Lemutuz kwa kiwango hicho? Sikupata sababu yoyote ya msingi, isipokuwa nilicho kiona ni hicho hapo juu nilicho kisema. Watu wanamkumbali Lemutuz but wanachukia kwanini wanamkubali Lemutuz, mwisho wa siku wanaishia kuexpress their feelings kwa kuandika lugha zisizo faa dhidi ya brother huyu.....
Kwa sisi watu tunao tazama mambo kwa jicho la INRI huwa hatupendi kuona mtu anaonewa bila sababu ya msingi. Tunaamini hakuna mtu aliye mkamilifu...
mkosi wa ndoa ulianzia hapa!
Hilo jamaa ni hasara kubwa kwa wazazi wake, at 56 years of age lilitakiwa kuwa linafanya shuguli zenye tija kwa taifa badala ya kushika pembe kwenye mibebez ya watu...
Haha haaaah utadhani akili zimehamia tumboni.
Jamaa anapga kazi no time rest... napenda falsafa zake katika kazi na social network
Ni kweli....aliposoma tu ile habari akakimbilia moja kwa moja kwa Mh. ili awe a kwanza wa kupiga naye picha. Huyu alilimwa talaka na mkewe Marekani kwa ujinga huu huu wa umbea. Yaani haka kajamaa kanakaribia 50 years old ila kana akili za kipashukuna na utoto sana.
Le mutuz,le baharia,le big show,mutu ya watu,aah,-hakuumbwa na mungu ili apendwe na kila mtu,au achukiwe na kila mtu,hivyo yeyote anayempenda kwa tabia yake. Au kumchukia kwa tabia yake,anatimiza haki na wajibu wa ubinadamu wake.maana hata wewe wapo wanaokupenda kwa tabia zako,au kukuchukia kwa tabia zako,cha kukumbukwa ni kwamba sisi tuu wanadamu ,tuliyoumbwa kwa mapungufu,na hayupo mkamilifu wa vyote.
Mtu mmoja mwenye hekima aliwahi kusema hivi : " UKIONA WATU USIO FAHAMIANA NAO WANAKUCHUKIA, BASI JUA WANAKUKUBALI SANA, ILA WANACHUKIA KWANINI WANAKUKUBALI "
Kwa muda mrefu sasa tangu aanze kujihusisha na masuala ya Social Network, Lemutuz amekuwa muhanga wa lugha za dharau, kejeli na matusi kutoka kwa watu mbalimbali wanao tumia mitandao hiyo.
Kila mara jina la LEMUTUZ linapotajwa hapa JF au kule Tanuru la Fikra basi kinacho fuatia huwa ni lugha za matusi, kejeli na kashfa. Watu wengine wanatoa lugha komenti zao katika namna inayo onyesha kuwa wana uchungu sana mioyoni mwao....
Nilijaribu kufanya uchunguzi wangu kujua ni kitu gani kinacho wafanya watu wamchukie Lemutuz kwa kiwango hicho? Sikupata sababu yoyote ya msingi, isipokuwa nilicho kiona ni hicho hapo juu nilicho kisema. Watu wanamkumbali Lemutuz but wanachukia kwanini wanamkubali Lemutuz, mwisho wa siku wanaishia kuexpress their feelings kwa kuandika lugha zisizo faa dhidi ya brother huyu.....
Kwa sisi watu tunao tazama mambo kwa jicho la INRI huwa hatupendi kuona mtu anaonewa bila sababu ya msingi. Tunaamini hakuna mtu aliye mkamilifu...
Simpendi na simchukii ommy dimpoz but Napenda nyimbo zake....kusema le mutuz hana kitu cha kukifuatalia its wrong..sio Lazima umpende ili kum watch na his movements
Kwa hiyo ukadhani umetuimanisha kwa ku-quote mtu mmoja aliyewahi kusema na mtu huyo hajulikana labda ni wewe? Twambie nani alisema hivyo.
Mimi simjui huyu mtu ila simkubali pia kwa pumba zake za mara kwa mara na kwa sababu sikubaliani na pumba zake kwa hiyo sipendi pumba zake na hiyo namchukia kwa kila akitoa pumba zake. namuona kama mtu hewa kichwani
Honestly mi mwanzoni nilijua watu wanamuonea humu...ila kama ulifanyanikiwa kuiona thread yake ya "kuikosoa" NBC na the way alivyokuwa anarespond kwa comments za watu....I said to myself that kumbe I'm wise at my 20s of age really!!!!
He hee,'kushika pembe'! Umenikumbusha mbali sana.Hilo jamaa ni hasara kubwa kwa wazazi wake, at 56 years of age lilitakiwa kuwa linafanya shuguli zenye tija kwa taifa badala ya kushika pembe kwenye mibebez ya watu...
Haha haaaah utadhani akili zimehamia tumboni.
Le mutuz,le baharia,le big show,mutu ya watu,aah,-hakuumbwa na mungu ili apendwe na kila mtu,au achukiwe na kila mtu,hivyo yeyote anayempenda kwa tabia yake. Au kumchukia kwa tabia yake,anatimiza haki na wajibu wa ubinadamu wake.maana hata wewe wapo wanaokupenda kwa tabia zako,au kukuchukia kwa tabia zako,cha kukumbukwa ni kwamba sisi tuu wanadamu ,tuliyoumbwa kwa mapungufu,na hayupo mkamilifu wa vyote.