nyumbatatu JF-Expert Member Jul 19, 2013 1,076 938 Jan 3, 2017 #1 Kama ilivyo kawaida watanzania/waswahili hawakaukiwi maneno vinywani mwao, ...zilipoingia gari za pajero miatano ikaitwa pajero/jero,...elfu 10 ikaitwa wekundu WA msimbazi, ...sasa kapotea faru wetu John noti hii imepachikwa jina la faru John
Kama ilivyo kawaida watanzania/waswahili hawakaukiwi maneno vinywani mwao, ...zilipoingia gari za pajero miatano ikaitwa pajero/jero,...elfu 10 ikaitwa wekundu WA msimbazi, ...sasa kapotea faru wetu John noti hii imepachikwa jina la faru John
Kim Il Kwon JF-Expert Member Nov 13, 2015 1,219 1,033 Jan 3, 2017 #2 hahahahaa, wabongo bana! ila hlo jina linanoga sana asee. naanza rasmi kulitumia!!
Chumchang Changchum JF-Expert Member Nov 1, 2013 5,619 5,654 Jan 3, 2017 #3 Limekaa vyema lkn upande wakina Dada poa nao wana yao.. Bila faru John aendi kokote...
nyumbatatu JF-Expert Member Jul 19, 2013 1,076 938 Jan 3, 2017 Thread starter #4 Chumchang Changchum said: Limekaa vyema lkn upande wakina Dada poa nao wana yao.. Bila faru John aendi kokote... Click to expand... Duh!, wa pande zipi hao!, huduma inapatikana kwa thamani ya faru John Tu!
Chumchang Changchum said: Limekaa vyema lkn upande wakina Dada poa nao wana yao.. Bila faru John aendi kokote... Click to expand... Duh!, wa pande zipi hao!, huduma inapatikana kwa thamani ya faru John Tu!
KING 360 JF-Expert Member Jun 30, 2016 3,002 5,176 Jan 3, 2017 #5 Hahahaha mnaulizana na washkaji oya unashingapi apo unajibu nimebaki na faru John tu hapa
Chumchang Changchum JF-Expert Member Nov 1, 2013 5,619 5,654 Jan 3, 2017 #6 nyumbatatu said: Duh!, wa pande zipi hao!, huduma inapatikana kwa thamani ya faru John Tu! Click to expand... Sinza.Kinondoni.O bay.Tabata na kwengineko wanapopatikana Dada Poa....
nyumbatatu said: Duh!, wa pande zipi hao!, huduma inapatikana kwa thamani ya faru John Tu! Click to expand... Sinza.Kinondoni.O bay.Tabata na kwengineko wanapopatikana Dada Poa....
sab JF-Expert Member Jan 25, 2013 5,718 4,252 Jan 3, 2017 #7 Wazee wakubandika majina hongereni hapo mmepatia sana
E eddiwema Member Jan 2, 2017 7 2 Jan 3, 2017 #8 Chumchang Changchum said: Limekaa vyema lkn upande wakina Dada poa nao wana yao.. Bila faru John aendi kokote... Click to expand...
Chumchang Changchum said: Limekaa vyema lkn upande wakina Dada poa nao wana yao.. Bila faru John aendi kokote... Click to expand...
kizaizai JF-Expert Member Mar 31, 2010 5,342 6,495 Jan 3, 2017 #9 Nimekuja mbio nilifikiri ni yule anayechorwa na Kipanya.......
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,520 86,081 Jan 3, 2017 #10 Niko na Faru John wawili tu hapa Aisee hahahaha
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,520 86,081 Jan 3, 2017 #12 Juntazy said: hivi kuna mwenye chenji ya faru john humu Click to expand... Niko na msimbazi mmoja wa dizaini ya Faru John
Juntazy said: hivi kuna mwenye chenji ya faru john humu Click to expand... Niko na msimbazi mmoja wa dizaini ya Faru John
goldie ink JF-Expert Member Oct 6, 2016 5,636 9,132 Jan 3, 2017 #13 Yemi alade - alimuimba marehemu faru Johnny Am lookin for faru johnny..