klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Shemeji bana! ana vituko wallahi. Lolnimesahau alichosema
Shemeji bana! ana vituko wallahi. Lolnimesahau alichosema
Shemeji bana! ana vituko wallahi. Lol
.....Lol. Dah!sikushindi wewe shemeji. Lol
.....Lol. Dah!
Nipo shem, najua leo bro yuko araundi basi hauoni mtu yoyote.halafu mbona kwenye jukwaa letu sikuoni. Usiku unauweka shem.
Nipo shem, najua leo bro yuko araundi basi hauoni mtu yoyote.
Pia nina salam za deskmate, namsubilia apa apa
heheeh hii post ebu ifafanue? naona kama kuna maslahi apa. Njoo huku pembeni nikusuluhishe wewe peke ako kwanza.shem bro wako mwenyewe full mikausho. Lol. Tutafika kweli? Mwali yupo business forum ila atafika hapa punde.
Hivi deskmate wako yupo?heheeh hii post ebu ifafanue? naona kama kuna maslahi apa. Njoo huku pembeni nikusuluhishe wewe peke ako kwanza.
Deskmate amefungua biashara gani tena? mbona unanistua shem
heheeh hii post ebu ifafanue? naona kama kuna maslahi apa. Njoo huku pembeni nikusuluhishe wewe peke ako kwanza.
Deskmate amefungua biashara gani tena? mbona unanistua shem
Yupo, na huruhusiwi kuulizia suala zaidi kuhusu deskmate, yupo under my protection.Hivi deskmate wako yupo?
Dah! na uskute na Ivuga pengine alimwibia handbag yake pia kamuongezea umaskini.kwani we slow learner shem? Mwali mtaji wake wa kacholi unayumba, anatafuta angle investor.
Yupo, na huruhusiwi kuulizia suala zaidi kuhusu deskmate, yupo under my protection.
haya rudi kwenye mada halaka
Dah! na uskute na Ivuga pengine alimwibia handbag yake pia kamuongezea umaskini.
nimegundua una matatizo ya r na l! Kule ulisema mwari hapa halaka lol nina ufumbuzi wa tatizo lako.Nione halaka
ivuga alikuwa anakula kacholi za mwali bila kulipa.
hahahaha!
hiyo ni swaga siyo matatizonimegundua una matatizo ya r na l! Kule ulisema mwari hapa halaka lol nina ufumbuzi wa tatizo lako.Nione halaka
Dokta kaniambia nahitaji nilambe lambe chumvi ili kutatua ili tatizo.nimegundua una matatizo ya r na l! Kule ulisema mwari hapa halaka lol nina ufumbuzi wa tatizo lako.Nione halaka
hehehe nitaviziaYupo, na huruhusiwi kuulizia suala zaidi kuhusu deskmate, yupo under my protection.
haya rudi kwenye mada halaka
hiyo ni swaga siyo matatizo