CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Anahitajika Mdada mwenye certificate ya Marketing. Kwa ajili ya kuuza product yetu mpya itakayo anza muda wowote kuwnzia sasa.
Vigezo.
1. Uzoefu usio pungua mwaka 1 kwenye Masoko
2. kuijua Geografia ya Arusha vyema
3. Certificate ya Masoko kutoka Chuo kinacho tambulika.
4.Kujua kusoma ba kuandika
5. Kujua kutumia mitandao ya kijamaii hasa facebook na Instagram.
6 Mbunifu
7.Mwenye kujituma sana.
Kama una mtu anaye meet vigezo basi atume barua na CV kwa email cshauri@gmail.com
Mshahara itakuwa ni negotiable.
Mwisho wa kupokea barua ni tarehe 15 April 2020
NB: Sitajibu chochote Inbox hivyo mtu asijaribu kunitumia PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo.
1. Uzoefu usio pungua mwaka 1 kwenye Masoko
2. kuijua Geografia ya Arusha vyema
3. Certificate ya Masoko kutoka Chuo kinacho tambulika.
4.Kujua kusoma ba kuandika
5. Kujua kutumia mitandao ya kijamaii hasa facebook na Instagram.
6 Mbunifu
7.Mwenye kujituma sana.
Kama una mtu anaye meet vigezo basi atume barua na CV kwa email cshauri@gmail.com
Mshahara itakuwa ni negotiable.
Mwisho wa kupokea barua ni tarehe 15 April 2020
NB: Sitajibu chochote Inbox hivyo mtu asijaribu kunitumia PM
Sent using Jamii Forums mobile app