Anahitajika Matroni wa kukaa na wanafunzi hosteli

Zambotti

JF-Expert Member
Jul 2, 2016
1,961
3,592
Anahitajika matron kwa ajili ya kazi ya kuhudumia wanafunzi ndani ya mji huu wa DSM katika shule, majukumu ya mfanyakazi yatakuwa ni :

01. Kupika
02. Kufua
03. Kupiga pasi
04. Kusafisha mazingira ya hostel
05. Mengineyo

Sifa za mfanyakazi zinazotakiwa ni :

01. Awe mtanzania
02. Awe muislamu
03. Awe ni mwanamke
04. Umri kuanzia miaka 25 - 40
05. Awe na elimu ya kujuwa kusoma na kuandika.
06. Awe mlezi wa watoto.


Kwa mawasiliano zaidi piga
0713 039345 , 0688 016569
NB mwisho wa tangazo hili ni tar 31 May
 
Anahitajika matron kwa ajili ya kazi ya kuhudumia wanafunzi ndani ya mji huu wa DSM katika shule, majukumu ya mfanyakazi yatakuwa ni :

01. Kupika
02. Kufua
03. Kupiga pasi
04. Kusafisha mazingira ya hostel
05. Mengineyo

Sifa za mfanyakazi zinazotakiwa ni :

01. Awe mtanzania
02. Awe muislamu
03. Awe ni mwanamke
04. Umri kuanzia miaka 25 - 40
05. Awe na elimu ya kujuwa kusoma na kuandika.
06. Awe mlezi wa watoto.


Kwa mawasiliano zaidi piga
0713 039345 , 0688 016569
NB mwisho wa tangazo hili ni tar 31 May
Kazi hiyo inayobagua mpaka dini hapa Tanzania haifai. Waislamu mtaacha lini udini? Mbona wenzenu Wakristo wanaajiri kila mtu mwenye sifa bila kubagua dini?? Acheni hizo!!
 
Anahitajika matron kwa ajili ya kazi ya kuhudumia wanafunzi ndani ya mji huu wa DSM katika shule, majukumu ya mfanyakazi yatakuwa ni :

01. Kupika
02. Kufua
03. Kupiga pasi
04. Kusafisha mazingira ya hostel
05. Mengineyo

Sifa za mfanyakazi zinazotakiwa ni :

01. Awe mtanzania
02. Awe muislamu
03. Awe ni mwanamke
04. Umri kuanzia miaka 25 - 40
05. Awe na elimu ya kujuwa kusoma na kuandika.
06. Awe mlezi wa watoto.


Kwa mawasiliano zaidi piga
0713 039345 , 0688 016569
NB mwisho wa tangazo hili ni tar 31 May
Sasa dini hapo inahusianaje na kazi?? uyo Matron anaenda kuwafundisha watoto Qur aani??
 
Anahitajika matron kwa ajili ya kazi ya kuhudumia wanafunzi ndani ya mji huu wa DSM katika shule, majukumu ya mfanyakazi yatakuwa ni :

01. Kupika
02. Kufua
03. Kupiga pasi
04. Kusafisha mazingira ya hostel
05. Mengineyo

Sifa za mfanyakazi zinazotakiwa ni :

01. Awe mtanzania
02. Awe muislamu
03. Awe ni mwanamke
04. Umri kuanzia miaka 25 - 40
05. Awe na elimu ya kujuwa kusoma na kuandika.
06. Awe mlezi wa watoto.


Kwa mawasiliano zaidi piga
0713 039345 , 0688 016569
NB mwisho wa tangazo hili ni tar 31 May
Mshahara please
 
Watanzania tumezoea matangazo ya kinafiki kwa sababu mleta mada akutaka unafiki amekuwa straight kwa mtu wanayemuhitaji bila kusumbua wengine hivyo amekuwa adui kwa wapenda unafiki...maana ungeweza apply wasiyekuhitaji na usingepata.

Kuna taasisi nyingi sana zinaajiri watu based on their faith lakini kwenye matangazo yao wanafanya unafiki kwa kutoweka hicho kipengele na kusababisha usumbufu na hasara kwa wasiowahitaji.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom