Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,559
- 45,880
Naombeni kuuliza,
Mwanamke akiamua kukeketwa kwa hiari yake at legal age je ni kosa kisheria?
Mwanamke akiamua kukeketwa kwa hiari yake at legal age je ni kosa kisheria?
kwanini ni kosa? kutoga masikio ni kosa? kutoboa kitovu je? why kukata papuchi iwe kosa? kwani ni mali ya serikali?Kosa ni kosa hata kama ukifanya kwa hiari
ni kosa kwa sababu ni sawa na kujaribu kujiua .. wakati wa kujifungua wanakufa sana according to wao me sijakeketwa ...kwanini ni kosa? kutoga masikio ni kosa? kutoboa kitovu je? why kukata papuchi iwe kosa? kwani ni mali ya serikali?
oooh why wanakufa?ni kosa kwa sababu ni sawa na kujaribu kujiua .. wakati wa kujifungua wanakufa sana according to wao me sijakeketwa ...
ni kosa kujinyima raha
lile kovu huwa linachanika wakati wa kujifungua na kupoteza damu nyingi kupelekea kufa kama hospital hawatakuwa na damu .. sasa wakaona kuzuia vifo kutokana na kukosa damu wakati wa kujifungua hakuna kukata utamuoooh why wanakufa?
kwani kukeketwa kunaachaje kovu? unajua kukeketwa kunakuaje miss lakini?lile kovu huwa linachanika wakati wa kujifungua na kupoteza damu nyingi kupelekea kufa kama hospital hawatakuwa na damu .. sasa wakaona kuzuia vifo kutokana na kukosa damu wakati wa kujifungua hakuna kukata utamu
kwa tanzania wanakata kinembe kile pale .. kuna baadhi ya nchi kama namibia wanavuta kinembe nje kwa hiyo kinakuwa kirefu kama kidudu.... kuna nchi wanavuta mashavu ni aina ya ukeketaji japo kwa kingereza wanayapa majina tofuati ya yote yanapigwa vita kitaifa .. sasa hii ya kwetu ni hatarikwani kukeketwa kunaachaje kovu? unajua kukeketwa kunakuaje miss lakini?
hata huku bongo kuna ambaoa hawakati kinembe wanatoa govi kwenye kinembe .sasa ipi haikubaliki bongo au ni aina zote?kwa tanzania wanakata kinembe kile pale .. kuna baadhi ya nchi kama namibia wanavuta kinembe nje kwa hiyo kinakuwa kirefu kama kidudu.... kuna nchi wanavuta mashavu ni aina ya ukeketaji japo kwa kingereza wanayapa majina tofuati ya yote yanapigwa vita kitaifa .. sasa hii ya kwetu ni hatari
kwani papuchi ni mali ya serikali?labda angekeketwa kabla ya 1998. ni Illegal mkuu
heeeNi kosa kubwa kumbuka papuchi ni ya kwako lkn mlaji ni mwingine kwahyo unapoikata na kuondoa ladha yake halisi unamnyima mlaji haki yake ya kuinjoi hyo papuchi
haikubaliki mkuu ukeketaji ni unyanyasaji wa kijinsiahata huku bongo kuna ambaoa hawakati kinembe wanatoa govi kwenye kinembe .sasa ipi haikubaliki bongo au ni aina zote?
Naomba ukipata jibu uniulizie pia kama kujiua kwa hiari yako mwenyewe ni kosa kisheria..asante!Naombeni kuuliza,
Mwanamke akiamua kukeketwa kwa hiari yake at legal age je ni kosa kisheria?
Huo ndio ukweli mamaheee
hahahaakwani papuchi ni mali ya serikali?
Kwanza papuchi iliyokeketwa inpoteza ile sura halisi na haivutii hata kuiangaliaheee